Surah Al-Haqqah aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿كَذَّبَتْ ثَمُودُ وَعَادٌ بِالْقَارِعَةِ﴾
[ الحاقة: 4]
Thamudi na A'di waliukadhibisha Msiba unao situsha.
Surah Al-Haqqah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Thamud and 'Aad denied the Striking Calamity.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Thamudi na Adi waliukadhibisha Msiba unao situsha.
Kina Thamudi na kina Adi walikanusha Kiyama kinacho wagutua walimwengu wote kwa kitisho chake na shida zake.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- (Itasemwa:) Mkamateni na mtupeni katikati ya Jahannamu!
- Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.
- Sema: Ewe Mwenyezi Mungu uliye miliki ufalme wote! Wewe humpa ufalme umtakaye, na humwondolea ufalme
- Kisha hakika nyinyi baada ya hayo mtakufa.
- Wale walio amini na zikatua nyoyo zao kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu. Hakika kwa kumkumbuka Mwenyezi
- Na ingeli wadhuru nini wao lau wangeli muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho, na
- Hakika wale walio kufuru baada ya kuamini kwao, kisha wakazidi kukufuru, toba yao haitakubaliwa, na
- Na anaye fanya juhudi basi bila ya shaka anafanya juhudi kwa ajili ya nafsi yake.
- Basi nikakukimbieni nilipo kuogopeni, tena Mola wangu Mlezi akanitunukia hukumu, na akanijaalia niwe miongoni mwa
- Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al-Haqqah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al-Haqqah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Haqqah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



