Surah Masad aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَامْرَأَتُهُ حَمَّالَةَ الْحَطَبِ﴾
[ المسد: 4]
Na mkewe, mchukuzi wa kuni,
Surah Al-Masad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And his wife [as well] - the carrier of firewood.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na mkewe, mchukuzi wa kuni,
Na ataingia pia kwenye Moto mkewe huyo aliye kuwa akibeba masengenyo baina ya watu, kama alivyo ingia yeye (mumewe).
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na litapulizwa barugumu, mara watatoka makaburini wakikimbilia kwa Mola wao Mlezi.
- Na ukiwauliza: Nani aliye ziumba mbingu na ardhi? Bila ya shaka watasema: Kaziumba Mwenye nguvu,
- Na kutokana na baba zao, na vizazi vyao na ndugu zao. Na tukawateuwa na tukawaongoa
- Wakasema: Wallahi! Mnajua vyema kwamba sisi hatukuja kufanya uharibifu katika nchi hii, wala sisi si
- Na kwa asubuhi inapo pambazuka,
- (Tukamwambia:) Tengeneza nguo za chuma pana, na kadiria sawa katika kuunganisha. Na tendeni mema. Hakika
- Wanamkimbilia mwitaji, na makafiri wanasema: Hii ni siku ngumu.
- Macho yao yatainama; watatoka makaburini kama nzige walio tawanyika,
- Ni uteremsho utokao kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
- Hakika mtu ameumbwa na papara.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Masad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Masad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Masad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



