Surah Masad aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَامْرَأَتُهُ حَمَّالَةَ الْحَطَبِ﴾
[ المسد: 4]
Na mkewe, mchukuzi wa kuni,
Surah Al-Masad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And his wife [as well] - the carrier of firewood.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na mkewe, mchukuzi wa kuni,
Na ataingia pia kwenye Moto mkewe huyo aliye kuwa akibeba masengenyo baina ya watu, kama alivyo ingia yeye (mumewe).
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake
- Na hivi ndivyo tutakavyo mlipa kila apitaye kiasi, na asiye amini ishara za Mola wake
- Au baba zetu wa zamani?
- Chukua sadaka katika mali zao, uwasafishe na uwatakase kwazo, na uwaombee rehema. Hakika maombi yako
- Sema: Hakika Mola wangu Mlezi anaondoa upotovu kwa Haki. Yeye ndiye Mwenye kujua vyema yaliyo
- Je! Wakati haujafika bado kwa walio amini zikanyenyekea nyoyo zao kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu na
- Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
- Na tulipo ipasua bahari kwa ajili yenu na tukakuokoeni, tukawazamisha watu wa Firauni, na huku
- Kisha wajisafishe taka zao, na waondoe nadhiri zao, na waizunguke Nyumba ya Kale.
- Walio baki nyuma watasema: Mtapo kwenda kuchukua ngawira, tuacheni tukufuateni! Wanataka kuyabadili maneno ya Mwenyezi
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Masad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Masad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Masad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers