Surah Waqiah aya 86 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَلَوْلَا إِن كُنتُمْ غَيْرَ مَدِينِينَ﴾
[ الواقعة: 86]
Na lau kuwa nyinyi hamumo katika mamlaka yangu,
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then why do you not, if you are not to be recompensed,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na lau kuwa nyinyi hamumo katika mamlaka yangu,
Basi je! Ikiwa nyinyi si wenye kunyenyekea kwa Ungu wetu,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sema: Njooni nikusomeeni aliyo kuharimishieni Mola wenu Mlezi. Nayo ni kuwa, msimshirikishe Yeye na chochote.
- Kweli ikathibiti na yakabat'ilika waliyo kuwa wakiyatenda.
- Na pale Lut'i alipo waambia watu wake: Hakika nyinyi mnafanya uchafu, ambao hapana mmoja katika
- Hebu tuangushie vipande kutoka mbinguni ikiwa wewe ni miongoni mwa wasemao kweli.
- Kama tulivyo mtuma Mtume kwenu anaye tokana na nyinyi, anakusomeeni Aya zetu na kukutakaseni na
- Akatoa ndani yake maji yake na malisho yake,
- Au uwe na kitalu cha mitende na mizabibu, na utupitishie mito kati yake ikimiminika.
- Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yenu na rehema yake, na ya
- Na Pepo itasogezwa kwa wachamngu.
- Na utaona wakhalifu siku hiyo wamefungwa katika minyororo;
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



