Surah Zalzalah aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَوْمَئِذٍ تُحَدِّثُ أَخْبَارَهَا﴾
[ الزلزلة: 4]
Siku hiyo itahadithia khabari zake.
Surah Az-Zalzalah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
That Day, it will report its news
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Siku hiyo itahadithia khabari zake.
Siku hiyo ardhi itamsimulia mtu khabari zake zilio mshitua,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na tukimneemesha mwanaadamu hugeuka na kujitenga upande, na inapo mgusa shari, huwa na madua marefu
- Wakasema: Ni mamoja kwetu, ukitupa mawaidha au hukuwa miongoni mwa watoao mawaidha.
- Hawatasikia humo upuuzi.
- Nao husema: Angeli penda Mwingi wa Rehema tusingeli waabudu sisi. Hawana ujuzi wowote wa hayo!
- Hakika haya ni majaribio yaliyo dhaahiri.
- Watasema: Tuna nini hata hatuwaoni wale watu ambao tukiwahisabu ndio katika waovu?
- Basi je! Unamwona mmoja wao aliye baki?
- Na ukiwauliza: Nani aliye ziumba mbingu na ardhi? Bila ya shaka watasema: Kaziumba Mwenye nguvu,
- Siku hiyo, basi, itakuwa siku ngumu.
- Basi hapana shaka tutawaonjesha hao walio kufuru adhabu kali, na hapana shaka tutawalipa malipo mabaya
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zalzalah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zalzalah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zalzalah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers