Surah Zalzalah aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَقَالَ الْإِنسَانُ مَا لَهَا﴾
[ الزلزلة: 3]
Na mtu akasema: Ina nini?
Surah Az-Zalzalah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And man says, "What is [wrong] with it?" -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na mtu akasema: Ina nini?
Na binaadamu akasema kwa kushtuka na khofu: Ardhi hii ina nini hata inatikisika hivi, na inatoa vilivyomo tumboni mwake, ndio Saa imefika?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hapana ubaya kwenu mkiwapa t'alaka wanawake ambao hamjawagusa au kuwabainishia mahari yao. Lakini wapeni cha
- Hapo ndipo Waumini walipo jaribiwa, na wakatikiswa mtikiso mkali.
- Na Mwenyezi Mungu alikutimilizieni miadi yake, vile mlivyo kuwa mnawauwa kwa idhini yake, mpaka mlipo
- Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni
- Nao hawakuamrishwa kitu ila wamuabudu Mwenyezi Mungu kwa kumtakasia Dini, wawe waongofu, na washike Sala,
- Na neema za Mola wako Mlezi zisimlie.
- Na hakika ni yetu Sisi Akhera na dunia.
- Ni chakula cha mwenye dhambi.
- Ni chemchem watakao inywa waja wa Mwenyezi Mungu, wakiifanya imiminike kwa wingi.
- Na kwa kina A'adi tulimtuma ndugu yao Hud. Akasema: Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zalzalah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zalzalah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zalzalah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers