Surah Zalzalah aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَقَالَ الْإِنسَانُ مَا لَهَا﴾
[ الزلزلة: 3]
Na mtu akasema: Ina nini?
Surah Az-Zalzalah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And man says, "What is [wrong] with it?" -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na mtu akasema: Ina nini?
Na binaadamu akasema kwa kushtuka na khofu: Ardhi hii ina nini hata inatikisika hivi, na inatoa vilivyomo tumboni mwake, ndio Saa imefika?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwa mfano wa haya nawatende watendao.
- Na niisome Qur'ani. Na mwenye kuongoka, basi ameongoka kwa faida ya nafsi yake; na aliye
- Wakasema waheshimiwa wa kaumu ya Firauni: Hakika huyo ni mchawi mjuzi.
- Aseme: Ewe Mola wangu Mlezi! Mbona umenifufua kipofu, nami nilikuwa nikiona?
- Kwani hawakuona ya kwamba Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi ni Mwenye kuweza kuumba
- Hakika hao wametengwa na kusikia.
- Na ardhi ameiweka kwa ajili ya viumbe.
- Isipo kuwa watu wa kuliani.
- La! Hapana pa kukimbilia!
- Na zipo nyuso siku hiyo zitakao kunjana.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zalzalah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zalzalah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zalzalah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers