Surah Zalzalah aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَقَالَ الْإِنسَانُ مَا لَهَا﴾
[ الزلزلة: 3]
Na mtu akasema: Ina nini?
Surah Az-Zalzalah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And man says, "What is [wrong] with it?" -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na mtu akasema: Ina nini?
Na binaadamu akasema kwa kushtuka na khofu: Ardhi hii ina nini hata inatikisika hivi, na inatoa vilivyomo tumboni mwake, ndio Saa imefika?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ambao wanapo fanyiwa jeuri hujitetea.
- Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi.
- Na wakikukanusha basi walikwisha wakanusha walio kuwa kabla yao. Mitume wao waliwajia kwa dalili wazi
- Je, wanataka dini isiyo kuwa ya Mwenyezi Mungu, na hali kila kilichomo mbinguni na katika
- Basi ni Salamu kwako uliye miongoni mwa watu wa upande wa kulia.
- Hakika mfano wa maisha ya dunia ni kama maji tuliyo yateremsha kutoka mbinguni, kisha yakachanganyika
- Fuata uliyo funuliwa kutoka kwa Mola wako Mlezi. Hapana mungu ila Yeye. Na jitenge na
- Na sifa zote njema ni zake katika mbingu na ardhi, na alasiri na adhuhuri.
- Kaumu ya Nuhu waliwakadhibisha Mitume.
- Kwa ulimi wa Kiarabu ulio wazi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zalzalah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zalzalah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zalzalah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



