Surah Abasa aya 42 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Abasa aya 42 in arabic text(He Frowned).
  
   
ayat 42 from Surah Abasa

﴿أُولَٰئِكَ هُمُ الْكَفَرَةُ الْفَجَرَةُ﴾
[ عبس: 42]

Hao ndio makafiri watenda maovu.

Surah Abasa in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Those are the disbelievers, the wicked ones.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hao ndio makafiri watenda maovu


Wenye nyuso hizi ni makafiri wapotovu, ambao walio kuwa hawabali maasi waliyo kuwa wakiyatenda.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 42 from Abasa


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na katika Ishara zake ni vyombo vinavyo kwenda na kurejea baharini kama vilima.
  2. Ama amemzulia Mwenyezi Mungu uwongo, au ana wazimu. Bali wasio amini Akhera wamo adhabuni na
  3. Na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea Roho wetu, akajifananisha kwake sawa na mtu.
  4. Mwenyezi Mungu amemlaani. Naye Shet'ani alisema: Kwa yakini nitawachukua sehemu maalumu katika waja wako.
  5. Tena rudisha nadhari mara mbili, nadhari yako itakurejea mwenyewe hali ya kuwa imehizika nayo imechoka.
  6. Kwa hivyo walishindwa hapo, na wakageuka kuwa wadogo.
  7. Na pale tulipomweka Ibrahim pahala penye ile Nyumba tukamwambia: Usinishirikishe na chochote; na isafishe Nyumba
  8. Akenda naye (mwanawe) kwa jamaa zake amembeba. Wakasema: Ewe Maryamu! Hakika umeleta kitu cha ajabu!
  9. Na Wallahi! Nitayafanyia vitimbi masanamu yenu haya baada ya mkisha geuka kwenda zenu.
  10. Kwa hakika tuliwatuma Mitume wetu kwa dalili waziwazi, na tukateremsha Kitabu pamoja nao na Mizani,

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Abasa with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Abasa mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Abasa Complete with high quality
Surah Abasa Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Abasa Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Abasa Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Abasa Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Abasa Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Abasa Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Abasa Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Abasa Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Abasa Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Abasa Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Abasa Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Abasa Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Abasa Al Hosary
Al Hosary
Surah Abasa Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Abasa Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, June 25, 2025

Please remember us in your sincere prayers