Surah Al Qamar aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Qamar aya 9 in arabic text(The Moon).
  
   

﴿۞ كَذَّبَتْ قَبْلَهُمْ قَوْمُ نُوحٍ فَكَذَّبُوا عَبْدَنَا وَقَالُوا مَجْنُونٌ وَازْدُجِرَ﴾
[ القمر: 9]

Kabla yao kaumu ya Nuhu walikanusha; wakamkanusha mja wetu, na wakasema ni mwendawazimu, na akakaripiwa.

Surah Al-Qamar in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


The people of Noah denied before them, and they denied Our servant and said, "A madman," and he was repelled.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kabla yao kaumu ya Nuhu walikanusha; wakamkanusha mja wetu, na wakasema ni mwendawazimu, na akakaripiwa.


Kabla ya makafiri wa Makka walikwisha kanusha kaumu ya Nuhu. Walimkadhibisha Nuhu, mja wetu na Mtume wetu, wakamsingizia kuwa ana wazimu. Wakaingiza baina yake na kufikisha kwake Ujumbe kila namna ya maudhi na vitisho.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 9 from Al Qamar


Ayats from Quran in Swahili

  1. Ni vyeo hivyo vinavyo toka kwake, na maghfira na rehema. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi
  2. Sema: Mimi naogopa adhabu ya Siku kubwa hiyo ikiwa nitamuasi Mola wangu Mlezi.
  3. Angalieni! Nyinyi mnaitwa mtumie katika njia ya Mwenyezi Mungu, na wapo katika nyinyi wanao fanya
  4. Na hakika Sisi tulikwisha watuma Mitume kabla yako, na tukajaalia wawe na wake na dhuriya.
  5. Basi waulize: Ati Mola wako Mlezi ndiye mwenye watoto wa kike, na wao wanao watoto
  6. Hakika Mwenyezi Mungu hasamehe kushirikishwa, na husamehe yaliyo duni ya hilo kwa amtakaye. Na anaye
  7. Watu wa Peponi siku hiyo watakuwa katika makaazi bora na mahali penye starehe nzuri.
  8. Na kwa wengine ambao bado hawajaungana nao. Na Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
  9. Wakasema: Tuombee kwa Mola wako Mlezi atupambanulie ni yupi? Hakika tunaona ng'ombe wamefanana. Na kwa
  10. Enyi mlio amini! Kuweni wenye kusimamisha uadilifu, mtowao ushahidi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, ijapo

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Surah Al Qamar Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Qamar Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Qamar Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Qamar Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Qamar Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Qamar Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Qamar Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Al Qamar Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Qamar Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Qamar Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Qamar Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Qamar Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Qamar Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Qamar Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Qamar Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, March 4, 2025

Please remember us in your sincere prayers