Surah Al Qamar aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Qamar aya 9 in arabic text(The Moon).
  
   

﴿۞ كَذَّبَتْ قَبْلَهُمْ قَوْمُ نُوحٍ فَكَذَّبُوا عَبْدَنَا وَقَالُوا مَجْنُونٌ وَازْدُجِرَ﴾
[ القمر: 9]

Kabla yao kaumu ya Nuhu walikanusha; wakamkanusha mja wetu, na wakasema ni mwendawazimu, na akakaripiwa.

Surah Al-Qamar in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


The people of Noah denied before them, and they denied Our servant and said, "A madman," and he was repelled.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kabla yao kaumu ya Nuhu walikanusha; wakamkanusha mja wetu, na wakasema ni mwendawazimu, na akakaripiwa.


Kabla ya makafiri wa Makka walikwisha kanusha kaumu ya Nuhu. Walimkadhibisha Nuhu, mja wetu na Mtume wetu, wakamsingizia kuwa ana wazimu. Wakaingiza baina yake na kufikisha kwake Ujumbe kila namna ya maudhi na vitisho.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 9 from Al Qamar


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na pindi wakikuhoji, basi sema: Mimi nimeusalimisha uso wangu kumwelekea Mwenyezi Mungu, na kadhaalika walio
  2. Wala msimuamini ila anaye fuata dini yenu. Sema: Hakika uwongofu ni uwongofu wa Mwenyezi Mungu,
  3. Na mkichelea kutakuwapo mfarakano baina ya mke na mume basi pelekeni muamuzi kutokana na jamaa
  4. Au ikasema inapo ona adhabu: Lau kuwa ningeli pata fursa nyengine, ningeli kuwa miongoni mwa
  5. Na amka usiku kwa ibada; ni ziada ya sunna khasa kwako wewe. Huenda Mola wako
  6. Basi alipo jitenga nao na yale waliyo kuwa wakiyaabudu badala ya Mwenyezi Mungu, tulimpa Is-haq
  7. Na ukiwauliza, wanasema: Sisi tulikuwa tukipiga porojo na kucheza tu. Sema: Mlikuwa mkimfanyia maskhara Mwenyezi
  8. Watasema: Tuna nini hata hatuwaoni wale watu ambao tukiwahisabu ndio katika waovu?
  9. Basi ilikuwaje adhabu yangu, na maonyo yangu.
  10. Subhanahu Wa Taa'la, Ametakasika na Ametukuka juu kabisa na hayo wanayo yasema.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Surah Al Qamar Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Qamar Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Qamar Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Qamar Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Qamar Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Qamar Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Qamar Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Al Qamar Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Qamar Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Qamar Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Qamar Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Qamar Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Qamar Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Qamar Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Qamar Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, October 4, 2025

Please remember us in your sincere prayers