Surah Tariq aya 5 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَلْيَنظُرِ الْإِنسَانُ مِمَّ خُلِقَ﴾
[ الطارق: 5]
Hebu naajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?
Surah At-Tariq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So let man observe from what he was created.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hebu naajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?
Basi naafikiri mtu, yeye kaumbwa kutokana na nini?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Alipo waambia ndugu yao, Hud: Je! Hamchimngu?
- Ikiwa wanataka kukufanyia khiana, wao walikwisha mfanyia khiana Mwenyezi Mungu kabla yake, na Yeye akakuwezesha
- Na mlipo kutana akakuonyesheni machoni mwenu kuwa wao ni wachache, na akakufanyeni nyinyi ni wachache
- Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia.
- Na Mwenyezi Mungu amewapigia mfano walio amini - mkewe Firauni, alipo sema: Mola wangu Mlezi!
- Akasema: Hii ni fimbo yangu; naiegemea na ninawaangushia majani kondoo na mbuzi wangu. Tena inanifaa
- Basi kila mmoja tulimtesa kwa mujibu wa makosa yake. Kati yao wapo tulio wapelekea kimbunga
- Je! Kwani hayakuwatosha ya kwamba tumekuteremshia Kitabu hiki wanacho somewa? Hakika katika hayo zipo rehema
- Na walisema wale wasio jua kitu: Mbona Mwenyezi Mungu hasemi nasi au zikatufikia Ishara. Kama
- Enyi mlio amini! Msiwafanye makafiri kuwa ndio marafiki badala ya Waumini. Je, mnataka Mwenyezi Mungu
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tariq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tariq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tariq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers