Surah Qasas aya 40 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Qasas aya 40 in arabic text(The Stories).
  
   

﴿فَأَخَذْنَاهُ وَجُنُودَهُ فَنَبَذْنَاهُمْ فِي الْيَمِّ ۖ فَانظُرْ كَيْفَ كَانَ عَاقِبَةُ الظَّالِمِينَ
[ القصص: 40]

Basi tukamshika yeye na majeshi yake, na tukawatupa baharini. Basi hebu angalia ulikuwaje mwisho wa wenye kudhulumu?

Surah Al-Qasas in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


So We took him and his soldiers and threw them into the sea. So see how was the end of the wrongdoers.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Basi tukamshika yeye na majeshi yake, na tukawatupa baharini. Basi hebu angalia ulikuwaje mwisho wa wenye kudhulumu?


Tukamngoa Firauni kwenye utawala wake, na tukawavutia taratibu yeye na majeshi yake mpaka baharini, na tukawazamisha na huku tunawatupia sababu ya dhulma yao. Basi zingatia, ewe Muhammad, na uwahadharishe watu wako watazame vipi unakuwa mwisho wa wenye kudhulumu katika dunia yao. Na hakika wewe ni mwenye kusaidiwa kupata ushindi juu yao.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 40 from Qasas


Ayats from Quran in Swahili

  1. Au mnadhani mko salama kwa alioko juu ya kuwa Yeye hakupelekeeni kimbunga chenye changarawe? Mtajua
  2. Ili Mwenyezi Mungu akusamehe makosa yako yaliyo tangulia na yajayo, na akutimizie neema zake, na
  3. Na wao husema: Mola wetu Mlezi! Tuletee upesi sehemu yetu ya adhabu kabla ya Siku
  4. Na ama atakaye pewa daftari lake kwa nyuma ya mgongo wake,
  5. Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi na kukhitalifiana usiku na mchana ziko Ishara kwa wenye
  6. Akasema: Mtalima miaka saba kwa juhudi. Mtacho vuna kiwacheni katika mashuke yake, isipo kuwa kidogo
  7. Unaweza kuakhirisha zamu kwa umtakaye katika wao, na umsogeze umtakaye. Na kama ukimtaka yule uliye
  8. Wala msikae katika kila njia mkitisha watu, na kuwazuilia na Njia ya Mwenyezi Mungu wale
  9. Nao husema: Angeli penda Mwingi wa Rehema tusingeli waabudu sisi. Hawana ujuzi wowote wa hayo!
  10. Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi, na akafanya giza

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Qasas with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Qasas mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qasas Complete with high quality
Surah Qasas Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Qasas Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Qasas Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Qasas Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Qasas Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Qasas Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Qasas Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Qasas Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Qasas Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Qasas Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Qasas Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Qasas Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Qasas Al Hosary
Al Hosary
Surah Qasas Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Qasas Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, December 21, 2025

Please remember us in your sincere prayers