Surah Najm aya 50 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَنَّهُ أَهْلَكَ عَادًا الْأُولَىٰ﴾
[ النجم: 50]
Na kwamba Yeye ndiye aliye waangamiza A'di wa kwanza,
Surah An-Najm in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And that He destroyed the first [people of] 'Aad
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na kwamba Yeye ndiye aliye waangamiza Adi wa kwanza,
Na Yeye ndiye aliye wateketeza kina Adi wa mwanzo, kaumu ya Nabii Hudi. Na akawateketeza Thamudi, kaumu ya Nabii Saleh. Hakuwabakisha.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hilo si gumu kwa Mwenyezi Mungu.
- Na kwa wanao toa kwa upole,
- Hakika huku bila ya shaka ndiko kufuzu kukubwa.
- Na wataongozwa kwenye maneno mazuri, na wataongozwa kwenye Njia ya Msifiwa.
- Wakasema: Bila shaka umekwisha jua hatuna haki juu ya binti zako, na unayajua tunayo yataka.
- Na walio kufuru hawatoacha kuwa katika wasiwasi kwa hilo mpaka Saa iwafikie ghafla, au iwafikie
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Na wale wa mkono wa kulia, ni yepi yatakuwa ya wa kuliani?
- Je! Umemwona aliye fanya matamanio yake kuwa ndiye mungu wake, na Mwenyezi Mungu akamwacha apotee
- Na wale wanao waomba wasio kuwa Mwenyezi Mungu hawaumbi kitu, bali wao wameumbwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Najm with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Najm mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Najm Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers