Surah Najm aya 49 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Najm aya 49 in arabic text(The Star).
  
   

﴿وَأَنَّهُ هُوَ رَبُّ الشِّعْرَىٰ﴾
[ النجم: 49]

Na kwamba hakika Yeye ndiye Mola Mlezi wa nyota ya Shii'ra.

Surah An-Najm in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And that it is He who is the Lord of Sirius


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na kwamba hakika Yeye ndiye Mola Mlezi wa nyota ya Shiira.


Na hakika Yeye ndiye Mola Mlezi wa hii nyota kubwa inayo itwa Shiira (Sirius, Dog Star). Makusudio hapa ni Nyota hiyo inayo itwa Ash-shira Alyamaaniya, au wanavyo ita Wazungu Sirius au Dog Star. Nyota hii inangara kwa nguvu zaidi kuliko nyota zote ziliomo katika kikundi cha nyota kinacho itwa Alkalbu l-akbar, kwa Kizungu Canis Major au Greater Dog. Nyota hiyo ndiyo inayo zagaa sana mbinguni, na huonekana kusini ya mstari wa kati wa mbinguni kiasi ya daraja 18. Na kwa jina hilo la Nyota ya Mbwa ikijuulikana hata miaka elfu tatu ilio pita. Katika mabaki ya michoro ya Mafirauni wa Misri imeashiriwa pia. Mwenyezi Mungu ameitaja khasa kwa kuwa Waarabu walikuwa wakiiabudu hapo kale, na pia Wamisri wa zamani, kwani kutokea kwake upande wa mashariki katikati ya mwezi wa Julai kabla ya kuchomoza jua kulikuwa kunawafikiana na wakati wa mafuriko ya Misri ya kati, yaani katika tukio muhimu kabisa katika ulimwengu huo wa kale. Na tukio hili huenda ndilo lilio fanya kuanzisha kuwekea kiwango urefu wa mwaka katika dunia nzima. Kwani kudhihiri Nyota ya Shiira kabla ya kuchomoza jua hakutokei ila mara moja tu katika mwaka. Basi huu ndio mwanzo wa mwaka mpya.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 49 from Najm


Ayats from Quran in Swahili

  1. Basi tetemeko la ardhi likawanyakua, na wakaamkia majumbani mwao wamejifudikiza, wamekwisha kufa.
  2. Mwenye kusaidia msaada mwema ana fungu lake katika hayo, na mwenye kusaidia msaada mwovu naye
  3. Wakamchinja. Basi (Saleh) akasema: Stareheni katika mji wenu muda wa siku tatu. Hiyo ni ahadi
  4. Basi zitawapotea khabari siku hiyo, nao hawataulizana.
  5. Na hakika bila ya shaka tulimpa Musa Kitabu baada ya kwisha ziangamiza kaumu za mwanzo,
  6. Hizi ni katika khabari za ghaibu tunazo kufunulia. Hukuwa ukizijua wewe, wala watu wako, kabla
  7. Kisha akaifuata njia.
  8. Na pale Musa alipo mwambia kijana wake: Sitoacha kuendelea mpaka nifike zinapo kutana bahari mbili,
  9. Kwa hakika wale wanao penda uenee uchafu kwa walio amini, watapata adhabu chungu katika dunia
  10. Hakika Mwenyezi Mungu anajua siri za mbingu na ardhi. Na Mwenyezi Mungu anayaona myatendayo.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Najm with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Najm mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Najm Complete with high quality
Surah Najm Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Najm Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Najm Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Najm Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Najm Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Najm Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Najm Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Najm Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Najm Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Najm Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Najm Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Najm Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Najm Al Hosary
Al Hosary
Surah Najm Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Najm Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, April 2, 2025

Please remember us in your sincere prayers