Surah Assaaffat aya 32 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَأَغْوَيْنَاكُمْ إِنَّا كُنَّا غَاوِينَ﴾
[ الصافات: 32]
Tulikupotezeni kwa sababu sisi wenyewe tulikuwa wapotovu.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And we led you to deviation; indeed, we were deviators."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Tulikupotezeni kwa sababu sisi wenyewe tulikuwa wapotovu.
Tukakuiteni kwenye maasi na upotovu na nyinyi mkaitikia wito wetu. Kazi yetu ni kufanya hila ya kuwaita watu wafuate upotovu tulio nao. Basi hatuna lawama.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na viliomo mbinguni na katika ardhi vinamsujudia Mwenyezi Mungu tu vikitaka visitake. Na pia vivuli
- Wanangoja jengine ila wawafikie Malaika, au awafikie Mola wako Mlezi, au zifike baadhi ya Ishara
- Mara watakuwa kwenye uwanda wa mkutano!
- Na tukawanyeshea mvua. Ni ovu kweli kweli hiyo mvua ya walio kwisha onywa.
- Na akaliwafiki lilio jema,
- Hata watakapo yaona wanayo ahidiwa, ndipo watakapo jua ni nani mwenye msaidizi dhaifu, na mchache
- Au maji yake yakadidimia wala usiweze kuyagundua.
- Kumkomboa mtumwa;
- Hakika katika haya zipo Ishara. Lakini wengi wao hawakuwa wenye kuamini.
- Ili mumuamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na mumsaidie, na mumhishimu, na mumtakase asubuhi na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



