Surah Waqiah aya 55 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَشَارِبُونَ شُرْبَ الْهِيمِ﴾
[ الواقعة: 55]
Tena mtakunywa kama wanavyo kunywa ngamia wenye kiu.
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And will drink as the drinking of thirsty camels.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Tena mtakunywa kama wanavyo kunywa ngamia wenye kiu.
Na mtakunywa kwa wingi na pupa kama anavyo kunywa ngamia mwenye kiu kisicho katika kiu chake kwa maji.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na katika watu wapo wanao muabudu Mwenyezi Mungu kwa ukingoni. Ikimfikia kheri hutulia kwayo, na
- Na Ismail, na Idris, na Dhulkifli - wote walikuwa miongoni mwa wanao subiri.
- Na mchamngu ataepushwa nao,
- Na hakika hutapata kiu humo wala hutapata joto.
- Na hakika misikiti ni ya Mwenyezi Mungu, basi msimuabudu yeyote pamoja na Mwenyezi Mungu.
- Je! Hapana katika haya kiapo kwa mwenye akili?
- Na ambaye Mwenyezi Mungu anamwongoa hana wa kumpotoa. Je! Mwenyezi Mungu si Mwenye nguvu anaye
- Na tukautia nguvu ufalme wake, na tukampa hikima, na kukata hukumu.
- Na lau ingeli kuwa ipo faida ya papo kwa papo, na safari yenyewe ni fupi,
- Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers