Surah Hajj aya 61 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hajj aya 61 in arabic text(The Pilgrimage).
  
   

﴿ذَٰلِكَ بِأَنَّ اللَّهَ يُولِجُ اللَّيْلَ فِي النَّهَارِ وَيُولِجُ النَّهَارَ فِي اللَّيْلِ وَأَنَّ اللَّهَ سَمِيعٌ بَصِيرٌ﴾
[ الحج: 61]

Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu huingiza usiku katika mchana, na huuingiza mchana katika usiku, na ya kwamba Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia Mwenye kuona.

Surah Al-Hajj in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


That is because Allah causes the night to enter the day and causes the day to enter the night and because Allah is Hearing and Seeing.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu huingiza usiku katika mchana, na huuingiza mchana katika usiku, na ya kwamba Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia Mwenye kuona.


Msaada huo ni mwepesi kwa Mwenyezi Mungu, kwani Yeye ni Muweza wa kila kitu. Na katika Ishara za uwezo wake zilio wazi mbele yenu ni utawala wake juu ya ulimwengu wote. Huzungusha usiku na mchana, pengine huzidi huu au huzidi huu. Inakuwa baadhi ya kiza cha usiku pahala pa mwanga wa mchana. Na pengine huwa kinyume cha hivyo. Naye Subhanahu juu ya uwezo wake husikiliza kauli ya aliye dhulumiwa, na anaviona vitendo vya mwenye kudhulumu. Basi humtia adhabuni.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 61 from Hajj


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Hajj with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Hajj mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hajj Complete with high quality
    Surah Hajj Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Hajj Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Hajj Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Hajj Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Hajj Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Hajj Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Hajj Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Hajj Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Hajj Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Hajj Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Hajj Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Hajj Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Hajj Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Hajj Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Hajj Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, June 24, 2025

    Please remember us in your sincere prayers