Surah An Naba aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah An Naba aya 7 in arabic text(The Great News).
  
   

﴿وَالْجِبَالَ أَوْتَادًا﴾
[ النبأ: 7]

Na milima kama vigingi?

Surah An-Naba in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And the mountains as stakes?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


kama Na milima vigingi?


Na tukaifanya milima ni vigingi vya ardhi vya kuituliza? Sehemu ya gamba gumu lilio juu ya ardhi linfikilia kiasi ya kilomita 60 unene wake, na inazidi mikunjo, mifimbi, inapanda juu kuwa milima, na huteremka chini kuwa ni vina vya bahari; na hiyo hulingana kwa sababu ya uzito unao patikana kutokana na milima. Na kulingana huko hakuharibiki ila kwa kubugunyika, kwani gamba kavu la ardhi linazuiliwa na milima, kama vigingi vinavyo zuilia khema. (Rejea Maoni ya Wataalamu juu ya Aya 7 ya Surat Qaf).

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 7 from An Naba


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na siku hiyo watasalimu amri mbele ya Mwenyezi Mungu, na yatapotea waliyo kuwa wakiyazua.
  2. Miji mingapi tuliiangamiza iliyo kuwa ikidhulumu, ikawa imebaki magofu, na visima vilivyo achwa, na majumba
  3. Na miongoni mwa watu wapo wanao nunua maneno ya upuuzi, ili wawapoteze watu na njia
  4. Zinakaribia mbingu kutatuka kwa hilo, na ardhi kupasuka, na milima kuanguka vipande vipande.
  5. Kila nafsi itajua ilicho kihudhurisha.
  6. Utawaona wengi wao wanafanya urafiki na walio kufuru. Hakika ni maovu yaliyo tangulizwa na nafsi
  7. Wanatamani lau unge lainisha ili nao wakulainishie.
  8. Hao ndio watakao pata sehemu yao kwa sababu ya yale waliyo yachuma. Na Mwenyezi Mungu
  9. Kama Mola wako Mlezi alivyo kutoa nyumbani kwako kwa Haki, na hakika kundi moja la
  10. Mwenye kumt'ii Mtume basi ndio amemt'ii Mwenyezi Mungu. Na anaye kengeuka, basi Sisi hatukukutuma wewe

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Surah An Naba Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah An Naba Bandar Balila
Bandar Balila
Surah An Naba Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah An Naba Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah An Naba Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah An Naba Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah An Naba Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah An Naba Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah An Naba Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah An Naba Fares Abbad
Fares Abbad
Surah An Naba Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah An Naba Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah An Naba Al Hosary
Al Hosary
Surah An Naba Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah An Naba Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, July 12, 2025

Please remember us in your sincere prayers