Surah An Naba aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالْجِبَالَ أَوْتَادًا﴾
[ النبأ: 7]
Na milima kama vigingi?
Surah An-Naba in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And the mountains as stakes?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
kama Na milima vigingi?
Na tukaifanya milima ni vigingi vya ardhi vya kuituliza? Sehemu ya gamba gumu lilio juu ya ardhi linfikilia kiasi ya kilomita 60 unene wake, na inazidi mikunjo, mifimbi, inapanda juu kuwa milima, na huteremka chini kuwa ni vina vya bahari; na hiyo hulingana kwa sababu ya uzito unao patikana kutokana na milima. Na kulingana huko hakuharibiki ila kwa kubugunyika, kwani gamba kavu la ardhi linazuiliwa na milima, kama vigingi vinavyo zuilia khema. (Rejea Maoni ya Wataalamu juu ya Aya 7 ya Surat Qaf).
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Akasema: Kilete basi, kama wewe ni katika wasemao kweli.
- Wala hawataruhusiwa kutoa udhuru.
- Na hakika tulikwisha kufanyia hisani mara nyengine...
- Hakika Mwenyezi Mungu hakifichiki chochote kwake, duniani wala mbinguni.
- Na tukawanusuru; na wakawa wao ndio wenye kushinda.
- Basi naapa kwa maanguko ya nyota,
- Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,
- Na yakakusanywa yaliomo vifuani?
- Hakika wasio ziamini Ishara za Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu hawaongoi, nao watapata adhabu chungu.
- Basi msimpigie Mwenyezi Mungu mifano. Hakika Mwenyezi Mungu anajua, na nyinyi hamjui.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers