Surah Waqiah aya 63 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَفَرَأَيْتُم مَّا تَحْرُثُونَ﴾
[ الواقعة: 63]
Je! Mnaona makulima mnayo yapanda?
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And have you seen that [seed] which you sow?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Je! Mnaona makulima mnayo yapanda?
Je! Hamuangalii mbegu mnayo ipanda katika ardhi?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
- Basi walitaka kumfanyia vitimbi, lakini tukawafanya wao ndio wa chini.
- Na wakasema: Sisi tuna mali mengi zaidi na watoto, wala sisi hatutaadhibiwa.
- Hawawi sawa watu wa Motoni na watu wa Peponi. Watu wa Peponi ndio wenye kufuzu.
- Na zinazo farikisha zikatawanya!
- Wakasema: Nani aliye ifanyia haya miungu yetu? Hakika huyu ni katika walio dhulumu.
- Na mwizi mwanamume na mwizi mwanamke, ikateni mikono yao, hayo ni malipo ya waliyo yachuma,
- Na kwa wanao toa kwa upole,
- Wala asikuzuilieni Shet'ani. Hakika yeye ni adui yenu wa dhaahiri.
- Je! Huoni jinsi Mola wako Mlezi anavyo kitandaza kivuli. Na angeli taka angeli kifanya kikatulia
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



