Surah Najm aya 22 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿تِلْكَ إِذًا قِسْمَةٌ ضِيزَىٰ﴾
[ النجم: 22]
Huo ni mgawanyo wa dhulma!
Surah An-Najm in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
That, then, is an unjust division.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Huo ni mgawanyo wa dhulma!
Huo basi ni ugawaji wa dhulma, mnamgawia Mwenyezi Mungu kile mnacho kichukia nyinyi wenyewe!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na tukautia nguvu ufalme wake, na tukampa hikima, na kukata hukumu.
- Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
- Kila chakula kilikuwa halali kwa Wana wa Israili isipo kuwa alicho jizuilia Israili mwenyewe kabla
- Enyi mlio amini! Kwa nini mnasema msiyo yatenda?
- Wingi wao huu utashindwa, na wao watasukumwa nyuma.
- Wala msiseme uwongo, kwa kuropokwa na ndimi zenu: Hichi halali, na hichi haramu - mkimzulia
- Na bila ya shaka walikwisha kanusha walio kuwa kabla yao; basi kulikuwaje kukasirika kwangu?
- Sema: Tembeeni ulimwenguni, kisha mtazame ulikuwaje mwisho wa wanao kanusha.
- Na pia ili Mwenyezi Mungu awasafishe walio amini na awafutilie mbali makafiri.
- Wakikuwezeni wanakuwa maadui zenu, na wanakukunjulieni mikono yao na ndimi zao kwa uovu. Na wanapenda
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Najm with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Najm mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Najm Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers