Surah Ibrahim aya 45 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ibrahim aya 45 in arabic text(Abraham).
  
   

﴿وَسَكَنتُمْ فِي مَسَاكِنِ الَّذِينَ ظَلَمُوا أَنفُسَهُمْ وَتَبَيَّنَ لَكُمْ كَيْفَ فَعَلْنَا بِهِمْ وَضَرَبْنَا لَكُمُ الْأَمْثَالَ﴾
[ إبراهيم: 45]

Na mkakaa katika maskani zile zile za walio zidhulumu nafsi zao. Na ikakudhihirikieni jinsi tulivyo watendea. Nasi tukakupigieni mifano mingi.

Surah Ibrahim in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And you lived among the dwellings of those who wronged themselves, and it had become clear to you how We dealt with them. And We presented for you [many] examples."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na mkakaa katika maskani zile zile za walio zidhulumu nafsi zao. Na ikakudhihirikieni jinsi tulivyo watendea. Nasi tukakupigieni mifano mingi.


Na mkakaa duniani katika maskani zile zile za wale walio tangulia kuzidhulumu nafsi zao kwa ukafiri na maasi miongoni mwa kaumu zilizo kuwa kabla yenu. Na ikadhihiri kwenu kwa kuona mabaki ya vile tulivyo waadhibu wao, na nyinyi msiwaidhike. Na tukakuelezeni waliyo yafanya wao, na nini kilicho wafika. Nanyi msizingatie.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 45 from Ibrahim


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini watendao mema kwamba watapata
  2. Na wanawake walio achwa wangoje peke yao mpaka t'ahara (au hedhi) tatu zipite. Wala haiwajuzii
  3. Hakika Sisi tunazo pingu nzito na Moto unao waka kwa ukali kabisa!
  4. Na wanawake wazee wasio taraji kuolewa, si vibaya kwao kupunguza nguo zao, bila ya kujishaua
  5. Hatauingia ila mwovu kabisa!
  6. Na pale Mwenyezi Mungu alipo fungamana na walio pewa Kitabu kuwa: Lazima mtawabainishia watu, wala
  7. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao
  8. Isipo kuwa wale walio amini, na wakatenda mema, na wakamkumbuka Mwenyezi Mungu kwa wingi, na
  9. (Musa) akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Nikunjulie kifua changu,
  10. Hakika wale walio amini na wakatenda mema na wakashika Sala na wakatoa Zaka, wao watapata

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ibrahim with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ibrahim mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ibrahim Complete with high quality
Surah Ibrahim Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ibrahim Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ibrahim Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ibrahim Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ibrahim Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ibrahim Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ibrahim Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ibrahim Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ibrahim Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ibrahim Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ibrahim Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ibrahim Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ibrahim Al Hosary
Al Hosary
Surah Ibrahim Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ibrahim Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, March 4, 2025

Please remember us in your sincere prayers