Surah Waqiah aya 62 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَقَدْ عَلِمْتُمُ النَّشْأَةَ الْأُولَىٰ فَلَوْلَا تَذَكَّرُونَ﴾
[ الواقعة: 62]
Na bila ya shaka mlikwisha jua umbo la kwanza, basi kwa nini hamkumbuki?
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And you have already known the first creation, so will you not remember?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na bila ya shaka mlikwisha jua umbo la kwanza, basi kwa nini hamkumbuki?
Bila ya shaka mmekwisha yakinika kuwa Mwenyezi Mungu alikuumbeni mara ya kwanza, basi je, hamkumbuki kwamba Mwenye kuweza hayo ni Mweza zaidi wa kufanya tena.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wamemwekea sehemu Mwenyezi Mungu katika mimea na wanyama alio umba, nao husema: Hii ni
- Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?
- Je! Yupo mmoja wenu anaye penda kuwa na kitalu cha mitende na mizabibu ipitayo mito
- Ni kama ada ya watu wa Firauni na walio kabla yao - walizikanusha Ishara za
- Hizi Aya za Mwenyezi Mungu tunakusomea kwa haki; basi hadithi gani watakayo iamini baada ya
- Na wachelee wale ambao lau kuwa na wao wangeli acha nyuma yao watoto wanyonge wangeli
- Hawataumwa kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawatoleweshwa.
- Kwa neema ya Mola wako Mlezi wewe si mwendawazimu.
- Hakika walio amini na wakatenda mema watakuwa nazo Bustani za neema.
- Na mkewe Firauni alisema: Atakuwa kiburudisho cha macho kwangu na kwako. Msimuuwe! Huenda akatufaa, au
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers