Surah Waqiah aya 62 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Waqiah aya 62 in arabic text(The Inevitable, The Event).
  
   

﴿وَلَقَدْ عَلِمْتُمُ النَّشْأَةَ الْأُولَىٰ فَلَوْلَا تَذَكَّرُونَ﴾
[ الواقعة: 62]

Na bila ya shaka mlikwisha jua umbo la kwanza, basi kwa nini hamkumbuki?

Surah Al-Waqiah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And you have already known the first creation, so will you not remember?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na bila ya shaka mlikwisha jua umbo la kwanza, basi kwa nini hamkumbuki?


Bila ya shaka mmekwisha yakinika kuwa Mwenyezi Mungu alikuumbeni mara ya kwanza, basi je, hamkumbuki kwamba Mwenye kuweza hayo ni Mweza zaidi wa kufanya tena.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 62 from Waqiah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hakika wanao amini na wakatenda mema watakuwa na ujira usio na ukomo.
  2. Lakini hawapewi wema huu ila wanao subiri, wala hawapewi ila wenye bahati kubwa.
  3. Kwa hakika walio kufuru na wakazuilia njia ya Mwenyezi Mungu na wakapinzana na Mtume baada
  4. Na hatukuwatuma kabla yako Mitume wowote ila kwa hakika na yakini walikuwa wakila chakula, na
  5. Na ikasemwa: Ewe ardhi! Meza maji yako. Na Ewe mbingu! Jizuie. Basi maji yakadidimia chini,
  6. Watakuapieni kwa Mwenyezi Mungu mtakapo rudi kwao ili muwaachilie mbali. Basi waachilieni mbali. Hakika hao
  7. Na nini kilicho wazuilia watu kuamini ulipo wajia uwongofu isipo kuwa walisema: Je! Mwenyezi Mungu
  8. Je! Hazikukufikieni khabari za walio kabla yenu? Kaumu ya Nuhu, na A'adi, na Thamud, na
  9. Akasema: Mola wangu Mlezi! Nisamehe na unipe ufalme usio mwelekea yeyote baada yangu. Hakika Wewe
  10. Wasio muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na nyoyo zao zikatia shaka, hao tu

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Surah Waqiah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Waqiah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Waqiah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Waqiah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Waqiah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Waqiah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Waqiah Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Waqiah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Waqiah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Waqiah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Waqiah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Waqiah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Waqiah Al Hosary
Al Hosary
Surah Waqiah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Waqiah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 12, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب