Surah Yunus aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أُولَٰئِكَ مَأْوَاهُمُ النَّارُ بِمَا كَانُوا يَكْسِبُونَ﴾
[ يونس: 8]
Hao, makaazi yao ni Motoni kwa sababu ya waliyo kuwa wakiyachuma.
Surah Yunus in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
For those their refuge will be the Fire because of what they used to earn.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hao, makaazi yao ni Motoni kwa sababu ya waliyo kuwa wakiyachuma.
Watu hao, makaazi yao watakapo dumu ni Motoni. Hayo ni malipo kwa waliyo yachuma ya ukafiri na vitendo viovu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Umeona kama yeye akikanusha na anarudi nyuma?
- Kumwendea Firauni na wakuu wake. Lakini walijivuna, nao walikuwa watu majeuri.
- Kwani? Hakika Mola wake Mlezi alikuwa akimwona!
- Na ingia katika Pepo yangu.
- Basi alipo timiza muda wake na akasafiri na ahali zake, aliona moto upande wa Mlima
- Wala Mashet'ani hawakuteremka nayo,
- Enyi mlio amini! Msimfanyie khiana Mwenyezi Mungu na Mtume, wala msikhini amana zenu, nanyi mnajua.
- Wale walio mkanusha Shua'ib wakawa kama kwamba hawakuwako. Walio mkanusha Shua'ib ndio walio kuwa wenye
- Marejeo yenu ni kwa Mwenyezi Mungu tu. Naye ni Muweza wa kila kitu.
- Na ataiacha tambarare, uwanda.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yunus with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yunus mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yunus Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers