Surah Hijr aya 82 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَكَانُوا يَنْحِتُونَ مِنَ الْجِبَالِ بُيُوتًا آمِنِينَ﴾
[ الحجر: 82]
Nao walikuwa wakichonga majumba katika milima kwa amani.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they used to carve from the mountains, houses, feeling secure.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Nao walikuwa wakichonga majumba katika milima kwa amani.
Nao walikuwa watu wenye nguvu na wajenzi. Walikuwa wakijenga majumba yao katika milima na wakiichonga hiyo hiyo milima. Na wao walikuwa wakijiamini kuwa wametua na nafsi zao na mali yao.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wanamtakasa usiku na mchana, wala hawanyong'onyei.
- Je! Mmeaminisha ya kuwa hatakudidimizeni upande wowote katika nchi kavu, au kwamba hatakuleteeni tufani la
- Na matunda, na malisho ya wanyama;
- Hakika wasio ziamini Ishara za Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu hawaongoi, nao watapata adhabu chungu.
- Basi Siku hiyo hautawafaa walio dhulumu udhuru wao, wala haitotakiwa toba yao.
- Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe.
- Bali tuliwastarehesha hawa na baba zao mpaka umri ukawa mrefu kwao. Je, hawaoni ya kwamba
- Lakini Firauni alimuasi huyo Mtume, basi tukamshika mshiko wa mateso.
- Na Kitabu kilicho andikwa
- Itakapo pasuka mbingu ikawa nyekundu kama mafuta.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



