Surah Nahl aya 79 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Nahl aya 79 in arabic text(The Bee).
  
   

﴿أَلَمْ يَرَوْا إِلَى الطَّيْرِ مُسَخَّرَاتٍ فِي جَوِّ السَّمَاءِ مَا يُمْسِكُهُنَّ إِلَّا اللَّهُ ۗ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَاتٍ لِّقَوْمٍ يُؤْمِنُونَ
[ النحل: 79]

Je! Hawawaoni ndege walivyo wat'iifu katika anga la mbingu? Hapana mwenye kuwashika isipo kuwa Mwenyezi Mungu. Hakika katika haya zipo ishara kwa watu wanao amini.

Surah An-Nahl in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Do they not see the birds controlled in the atmosphere of the sky? None holds them up except Allah. Indeed in that are signs for a people who believe.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Je! Hawawaoni ndege walivyo watiifu katika anga la mbingu? Hapana mwenye kuwashika isipo kuwa Mwenyezi Mungu. Hakika katika haya zipo ishara kwa watu wanao amini.


Je! Hao washirikina hawawaangalii ndege walio jaaliwa waweze kuruka hewani juu, kwa kupewa na Mwenyezi Mungu mbawa kubwa kuliko miili yao, wakiikunjua na kuikunja. Na Mwenyezi Mungu akaidhalilisha hewa kuwabeba hao ndege. Hapana anaye washika huko angani ila Mwenyezi Mungu kwa nidhamu aliyo itengeneza Yeye Mwenyewe! Hakika katika kuwatazama hao ndege, na kuzingatia hikima ya Mwenyezi Mungu katika kuwaumba, ni ishara kubwa ya kuwanafiisha walio kuwa tayari kuamini. Ndege wanaruka kwa sababu kadhaa wa kadhaa katika kuumbwa kwao. Muhimu kuliko yote ni lile umbo lao la kuchongoka, na kuwa mbawa zao zilivyo tanda zenye manyoya, na mafupa yenye uwazi na myepesi na vifuko vya hewa kati ya matumbo yao, navyo vimeambatishwa na mayavuyavu (mapafu). Hivyo vifuko hujaa hewa wakati wa kuruka, basi huzidi hao ndege kuwa wepesi.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 79 from Nahl


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Nahl with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Nahl mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nahl Complete with high quality
    Surah Nahl Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Nahl Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Nahl Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Nahl Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Nahl Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Nahl Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Nahl Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Nahl Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Nahl Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Nahl Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Nahl Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Nahl Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Nahl Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Nahl Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Nahl Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, April 8, 2025

    Please remember us in your sincere prayers