Surah Al Imran aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Imran aya 4 in arabic text(The Family of Imraan).
  
   

﴿مِن قَبْلُ هُدًى لِّلنَّاسِ وَأَنزَلَ الْفُرْقَانَ ۗ إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا بِآيَاتِ اللَّهِ لَهُمْ عَذَابٌ شَدِيدٌ ۗ وَاللَّهُ عَزِيزٌ ذُو انتِقَامٍ
[ آل عمران: 4]

Kabla yake, ziwe uwongofu kwa watu. Na akateremsha Furqani (Upambanuo). Hakika walio zikanusha Ishara za Mwenyezi Mungu watakuwa na adhabu kali. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu na Mwenye kulipa.

Surah Al Imran in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Before, as guidance for the people. And He revealed the Qur'an. Indeed, those who disbelieve in the verses of Allah will have a severe punishment, and Allah is exalted in Might, the Owner of Retribution.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kabla yake, ziwe uwongofu kwa watu. Na akateremsha Furqani (Upambanuo). Hakika walio zikanusha Ishara za Mwenyezi Mungu watakuwa na adhabu kali. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu na Mwenye kulipa.


Ameziteremsha hizo kabla ya Qurani ili kuwaongoa watu. Walipo kengeuka akaiteremsha Qurani ipambanue baina ya Haki na baatili, baina ya kweli na uwongo, baina ya uwongofu na upotovu. Basi hii Qurani ni Kitabu cha kweli, chenye kudumu milele. Na kila mwenye kuacha aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu na akazikanya Aya zake, Ishara zake, atapata adhabu iliyo kali. Na Mwenyezi Mungu ni Muweza, hashindwi na kitu, na Mwenye kuwalipa wanao stahiki kulipwa.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 4 from Al Imran


Ayats from Quran in Swahili

  1. Watu wanao mkaribia zaidi Ibrahim ni wale walio mfuata yeye na Nabii huyu na walio
  2. Enyi mlio amini! Kuweni wenye kusimamisha uadilifu, mtowao ushahidi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, ijapo
  3. Basi tukamwitikia, na tukampa Yahya na tukamponyeshea mkewe. Hakika wao walikuwa wepesi wa kutenda mema,
  4. Basi lilitokea tukio juu yake kutoka kwa Mola wako Mlezi, nao wamelala!
  5. Basi alipo timiza muda wake na akasafiri na ahali zake, aliona moto upande wa Mlima
  6. Hakika walio kufuru miongoni mwa Watu wa Kitabu na washirikina wataingia katika Moto wa Jahannamu
  7. Bali wameyakanusha wasio yaelewa ilimu yake kabla hayajawajia maelezo yake. Kadhaalika walio kabla yao walikanusha
  8. Kisha yakawafikia waliyo kuwa wakiahidiwa,
  9. Na siku watakapo kusanywa maadui wa Mwenyezi Mungu kwenye Moto, nao wakikgawanywa kwa makundi.
  10. Enyi mlio amini! Yanapo mfikia mauti mmoja wenu na akataka kutoa wasia, basi wawepo mashahidi

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Imran with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Imran mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Imran Complete with high quality
Surah Al Imran Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Imran Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Imran Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Imran Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Imran Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Imran Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Imran Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Al Imran Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Imran Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Imran Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Imran Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Imran Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Imran Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Imran Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Imran Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, May 13, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب