Surah Nahl aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالْخَيْلَ وَالْبِغَالَ وَالْحَمِيرَ لِتَرْكَبُوهَا وَزِينَةً ۚ وَيَخْلُقُ مَا لَا تَعْلَمُونَ﴾
[ النحل: 8]
Na farasi, na nyumbu, na punda ili muwapande, na kuwa ni pambo. Na ataumba msivyo vijua.
Surah An-Nahl in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And [He created] the horses, mules and donkeys for you to ride and [as] adornment. And He creates that which you do not know.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na farasi, na nyumbu, na punda ili muwapande, na kuwa ni pambo.Na ataumba msivyo vijua.
Na Mwenyezi Mungu amekuumbieni farasi, na nyumbu, na punda mpate kuwapanda. Na mnawafanya ni pambo la kuingiza furaha katika nyoyo zenu. Na Mwenyezi Mungu atakuja umba msivyo vijua sasa, katika vyombo vya kupanda na vya kukata masafa miongoni mwa alivyo msahilishia Mwenyezi Mungu binaadamu pindi akitumia akili yake na akafikiri kwayo, na akaongoka kwa kutumia kila uwezo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- La mbingu wala ardhi hazikuwalilia, wala hawakupewa muhula.
- Na walio na maskani zao na Imani yao kabla yao, wanawapenda walio hamia kwao, wala
- Kisha baada yao tukaanzisha kizazi kingine.
- Basi neema gani ya Mola wako Mlezi unayo ifanyia shaka?
- Kabla yake, ziwe uwongofu kwa watu. Na akateremsha Furqani (Upambanuo). Hakika walio zikanusha Ishara za
- Hakika Mwenyezi Mungu hasamehi kushirikishwa na kitu. Lakini Yeye husamehe yasiyo kuwa hayo kwa amtakaye.
- Na Mwenyezi Mungu huwazidishia uwongofu wenye kushika uwongofu. Na mema yenye kudumu ni bora katika
- Mpaka yakini ilipo tufikia.
- (Mwenyezi Mungu) aseme: Msigombane mbele yangu. Nilikuleteeni mbele onyo langu.
- Na pindi mkiuliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu, au mkifa, hakika maghfira na rehema zitokazo
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nahl with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nahl mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nahl Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب