Surah Nahl aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَعَلَى اللَّهِ قَصْدُ السَّبِيلِ وَمِنْهَا جَائِرٌ ۚ وَلَوْ شَاءَ لَهَدَاكُمْ أَجْمَعِينَ﴾
[ النحل: 9]
Na ni juu ya Mwenyezi Mungu kuelekeza Njia. Na zipo njia za upotovu. Na angeli penda angeli kuongoeni nyote.
Surah An-Nahl in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And upon Allah is the direction of the [right] way, and among the various paths are those deviating. And if He willed, He could have guided you all.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na ni juu ya Mwenyezi Mungu kuelekeza Njia. Na zipo njia za upotovu.Na angeli penda angeli kuongoeni nyote.
Na juu ya Mwenyezi Mungu, kwa mujibu wa fadhila yake na rehema yake, kukuonesheni Njia Iliyo Nyooka ya kukufikisheni kwenye kheri. Na zipo njia zilizo potoka zisio fika kwenye Haki. Na lau angeli taka kukuongoeni nyote angeli kuongoeni kwenye Njia Iliyo Nyooka, lakini amekuumbieni akili ya kutambua, na matakwa ya kuelekea, na akakuacheni na khiari yenu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi yanayo tarajiwa kwenu mkitawala ndio mfisidi katika nchi na mwatupe jamaa zenu?
- Na mabustani yenye miti iliyo kamatana.
- Hakika huku bila ya shaka ndiko kufuzu kukubwa.
- Watu wa Machakani waliwakanusha Mitume.
- Katika hizo bahari mbili zinatoka lulu na marijani.
- Ambao wanapuuza Sala zao;
- Kwa hakika hao ambao kwa kumwogopa Mola wao Mlezi wananyenyekea,
- Au ni kama giza katika bahari kuu, iliyo funikwa na mawimbi juu ya mawimbi, na
- Na kila nafsi italipwa kwa yale iliyo yafanya, na Yeye anayajua sana wanayo yatenda.
- Wala kivuli na joto.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nahl with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nahl mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nahl Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



