Surah Al Ala aya 15 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَذَكَرَ اسْمَ رَبِّهِ فَصَلَّىٰ﴾
[ الأعلى: 15]
Na akakumbuka jina la Mola wake Mlezi, na akasali.
Surah Al-Ala in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And mentions the name of his Lord and prays.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na akakumbuka jina la Mola wake Mlezi, na akaswali.
Na akalikumbuka jina la Muumba wake kwa moyo wake na ulimi wake, na akaswali kwa unyenyekevu kama itakikanavyo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Jee, hawaoni vizazi vingapi tulivyo viangamiza kabla yao? Tuliwaweka katika nchi tusivyo kuwekeni nyinyi; tukawapelekea
- Kuwa ni ukumbusho. Wala Sisi hatukuwa wenye kudhulumu.
- Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.
- Basi karamu yake ni maji yanayo chemka,
- Na enyi watu wangu! Muombeni msamaha Mola wenu Mlezi, kisha mtubie kwake. Atakuleteeni mbingu zenye
- Hayo ni kwa sababu waliwaambia walio chukia aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu: Tutakut'iini katika baadhi ya
- Na hawatakumbuka isipo kuwa Mwenyezi Mungu atake. Uchamngu ni kwake Yeye, na msamaha ni wake
- Na alipo sema Ibrahim: Mola wangu Mlezi! Nionyeshe vipi unavyo fufua wafu. Mwenyezi Mungu akasema:
- H'a Mim
- Akasema: Mola wangu Mlezi! Ninusuru kwa sababu wananikanusha.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Ala with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Ala mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Ala Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers