Surah Fatir aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Fatir aya 9 in arabic text(The Originator).
  
   
ayat 9 from Surah Fatir

﴿وَاللَّهُ الَّذِي أَرْسَلَ الرِّيَاحَ فَتُثِيرُ سَحَابًا فَسُقْنَاهُ إِلَىٰ بَلَدٍ مَّيِّتٍ فَأَحْيَيْنَا بِهِ الْأَرْضَ بَعْدَ مَوْتِهَا ۚ كَذَٰلِكَ النُّشُورُ
[ فاطر: 9]

Na Mwenyezi Mungu ndiye anaye zituma Pepo ziyatimue mawingu, nasi tukayafikisha kwenye nchi iliyo kufa, tukaifufua ardhi baada ya kufa kwake. Ndivyo kama hivyo kutakavyo kuwa kufufuliwa.

Surah Fatir in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And it is Allah who sends the winds, and they stir the clouds, and We drive them to a dead land and give life thereby to the earth after its lifelessness. Thus is the resurrection.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na Mwenyezi Mungu ndiye anaye zituma Pepo ziyatimue mawingu, nasi tukayafikisha kwenye nchi iliyo kufa, tukaifufua ardhi baada ya kufa kwake. Ndivyo kama hivyo kutakavyo kuwa kufufuliwa.


Na Mwenyezi Mungu peke yake ndiye anaye zituma pepo ziyatimue mawingu yaliyo rindika kwa mvuke wa maji. Tena tukayasukuma hayo mawingu mpaka kwenye nchi yenye ukame, tukaihuisha ardhi yake baada ya kuwa ilikuwa imekufa. Kama tunavyo itoa mimea katika ardhi, basi hali kadhaalika tutawatoa maiti makaburini Siku ya Kiyama. Rejea maoni ya ki-ilimu juu ya Aya 57 katika Surat Al AAraaf.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 9 from Fatir


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hukuwaona wale walio toka majumbani kwao kwa maelfu kwa kuogopa mauti? Mwenyezi Mungu akawaambia: Kufeni!
  2. Na wanapo somewa Aya zetu zilizo wazi, walio kufuru husema juu ya haki inapo wajia:
  3. Na Mwenyezi Mungu amekuumbieni wake katika jinsi yenu, na akakujaalieni kutoka kwa wake zenu wana
  4. Je! Hujui kwamba Mwenyezi Mungu anayajua yaliomo mbinguni na katika ardhi? Hakika hayo yamo Kitabuni.
  5. Hakika wale walio zikataa Ishara zetu tutawaingiza Motoni. Kila zitapo wiva ngozi zao tutawabadilishia ngozi
  6. Na itakapo kwisha Sala, tawanyikeni katika nchi mtafute fadhila za Mwenyezi Mungu, na mkumbukeni Mwenyezi
  7. Macho yao yatainama, fedheha itawafunika. Hiyo ndiyo Siku waliyo kuwa wakiahidiwa.
  8. Na nyinyi hamwezi kushinda katika ardhi. Na wala nyinyi hamna mlinzi wala msaidizi badala ya
  9. Na mkitofanya - na wala hamtofanya kamwe - basi uogopeni moto ambao kuni zake ni
  10. Hakika sisi tutaiondoa adhabu kidogo, lakini nyinyi kwa yakini mtarejea vile vile!

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Fatir with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Fatir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fatir Complete with high quality
Surah Fatir Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Fatir Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Fatir Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Fatir Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Fatir Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Fatir Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Fatir Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Fatir Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Fatir Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Fatir Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Fatir Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Fatir Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Fatir Al Hosary
Al Hosary
Surah Fatir Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Fatir Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, May 14, 2025

Please remember us in your sincere prayers