Surah Mumtahina aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Mumtahina aya 9 in arabic text(The Examined One).
  
   

﴿إِنَّمَا يَنْهَاكُمُ اللَّهُ عَنِ الَّذِينَ قَاتَلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَأَخْرَجُوكُم مِّن دِيَارِكُمْ وَظَاهَرُوا عَلَىٰ إِخْرَاجِكُمْ أَن تَوَلَّوْهُمْ ۚ وَمَن يَتَوَلَّهُمْ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الظَّالِمُونَ
[ الممتحنة: 9]

Hakika Mwenyezi Mungu anakukatazeni kufanya urafiki na wale walio kupigeni vita, na wakakutoeni makwenu, na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu. Na wanao wafanya hao marafiki basi hao ndio madhaalimu.

Surah Al-Mumtahanah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Allah only forbids you from those who fight you because of religion and expel you from your homes and aid in your expulsion - [forbids] that you make allies of them. And whoever makes allies of them, then it is those who are the wrongdoers.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hakika Mwenyezi Mungu anakukatazeni kufanya urafiki na wale walio kupigeni vita, na wakakutoeni makwenu, na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu. Na wanao wafanya hao marafiki basi hao ndio madhaalimu.


Ila Mwenyezi Mungu anakukatazeni wale walio kupigeni vita katika Dini ili kukuzuieni nayo, na wakakulazimisheni kutoka majumbani kwenu na nchi yenu, na wakasaidia katika kukutoeni huko, msiwafanye hao kuwa ndio wenzenu wa kusaidiana nao. Na wenye kuwafanya hao ndio wasaidizi wao, basi hao ndio wenye kujidhulumu nafsi zao.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 9 from Mumtahina


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na akamwona mara nyingine,
  2. Na je! Imekufikia khabari ya wagombanao walipo pindukia ukuta kuingia chumbani?
  3. Na ikiwa ni makubwa kwako huku kukataa kwao, basi kama unaweza kutafuta njia ya chini
  4. Na nyama hoa amekuumbieni. Katika hao mna vifaa vya kutia joto, na manufaa mengineyo, na
  5. Wote hao tunawakunjulia - hawa na hao - katika neema za Mola wako Mlezi. Wala
  6. Na Musa alipo waambia watu wake: Enyi watu wangu! Hakika nyinyi mmezidhulumu nafsi zenu kwa
  7. Na tulipo mhukumia kufa, hapana aliye wajuulisha kufa kwake ila mnyama wa ardhi aliye kula
  8. Na hakika tumewatukuza wanaadamu, na tumewapa vya kupanda nchi kavu na baharini, na tumewaruzuku vitu
  9. Na alipo fikilia utu uzima tulimpa hukumu na ilimu. Na kama hivi tunawalipa wanao tenda
  10. Na hakika tumekuwekeni katika ardhi, na tumekujaalieni humo njia za kupatia maisha. Ni kuchache kushukuru

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Mumtahina with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Mumtahina mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mumtahina Complete with high quality
Surah Mumtahina Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Mumtahina Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Mumtahina Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Mumtahina Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Mumtahina Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Mumtahina Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Mumtahina Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Mumtahina Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Mumtahina Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Mumtahina Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Mumtahina Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Mumtahina Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Mumtahina Al Hosary
Al Hosary
Surah Mumtahina Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Mumtahina Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, May 10, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب