Surah Saff aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Saff aya 9 in arabic text(The Ranks).
  
   

﴿هُوَ الَّذِي أَرْسَلَ رَسُولَهُ بِالْهُدَىٰ وَدِينِ الْحَقِّ لِيُظْهِرَهُ عَلَى الدِّينِ كُلِّهِ وَلَوْ كَرِهَ الْمُشْرِكُونَ﴾
[ الصف: 9]

Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya haki ili ipate kuzishinda dini zote, ijapo kuwa washirikina watachukia.

Surah As-Saff in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


It is He who sent His Messenger with guidance and the religion of truth to manifest it over all religion, although those who associate others with Allah dislike it.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya haki ili ipate kuzishinda dini zote, ijapo kuwa washirikina watachukia.


Mwenyezi Mungu ndiye aliye mtuma Mtume wake, Muhammad, pamoja na Qurani ambayo ni uwongofu kwa watu wote, na Uislamu ambao ndio Dini ya haki, ili autukuze juu ya dini zote, ijapo kuwa washirikina wataudhika.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 9 from Saff


Ayats from Quran in Swahili

  1. Wakasema: Hizi ni ndoto zilizo paraganyika, wala sisi sio wenye kujua tafsiri ya ndoto hizi.
  2. Yawe haya ni kifumbua macho na ukumbusho kwa kila mja mwenye kuelekea.
  3. Na hakika wale wasio iamini Akhera wanajitenga na Njia hiyo.
  4. Wala hawatakuwa na walinzi wa kuwanusuru mbele ya Mwenyezi Mungu. Na ambaye Mwenyezi Mungu amemwacha
  5. Msije mkasema: Hakika mataifa mawili kabla yetu yameteremshiwa Kitabu; na sisi tulikuwa hatuna khabari ya
  6. Na kwa yakini tulimtuma Musa pamoja na Ishara zetu na uthibitisho ulio wazi,
  7. Hakika wamekhasirika wale ambao wamewauwa watoto wao kwa upumbavu pasipo kujua, na wakaharimisha alivyo waruzuku
  8. Na wale wanao sema: Mola wetu Mlezi! Tuondolee adhabu ya Jahannamu. Hakika adhabu yake ikimpata
  9. Na pia kwa kufuru zao na kumsingizia kwao Maryamu uwongo mkubwa,
  10. Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Saff with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Saff mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Saff Complete with high quality
Surah Saff Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Saff Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Saff Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Saff Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Saff Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Saff Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Saff Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Saff Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Saff Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Saff Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Saff Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Saff Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Saff Al Hosary
Al Hosary
Surah Saff Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Saff Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, July 11, 2025

Please remember us in your sincere prayers