Surah Saff aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Saff aya 9 in arabic text(The Ranks).
  
   

﴿هُوَ الَّذِي أَرْسَلَ رَسُولَهُ بِالْهُدَىٰ وَدِينِ الْحَقِّ لِيُظْهِرَهُ عَلَى الدِّينِ كُلِّهِ وَلَوْ كَرِهَ الْمُشْرِكُونَ﴾
[ الصف: 9]

Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya haki ili ipate kuzishinda dini zote, ijapo kuwa washirikina watachukia.

Surah As-Saff in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


It is He who sent His Messenger with guidance and the religion of truth to manifest it over all religion, although those who associate others with Allah dislike it.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya haki ili ipate kuzishinda dini zote, ijapo kuwa washirikina watachukia.


Mwenyezi Mungu ndiye aliye mtuma Mtume wake, Muhammad, pamoja na Qurani ambayo ni uwongofu kwa watu wote, na Uislamu ambao ndio Dini ya haki, ili autukuze juu ya dini zote, ijapo kuwa washirikina wataudhika.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 9 from Saff


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hakika waja wangu, wewe hutakuwa na mamlaka juu yao, isipo kuwa wale wapotofu walio kufuata.
  2. Basi mcheni Mwenyezi Mungu kama mwezavyo, na sikieni, na t'iini, na toeni, itakuwa kheri kwa
  3. Na haikuwa jawabu ya kaumu yake isipo kuwa kuambizana: Wafukuzeni katika mji wenu, maana hao
  4. Na tukawafuatishia hao Isa bin Maryamu kuyahakikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Taurati, na tukampa
  5. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
  6. Mwenyezi Mungu amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni waongo!
  7. Je, hamtapigana na watu walio vunja viapo vyao na wakawa na hamu ya kumfukuza Mtume,
  8. Na tulipo chukua agano lenu kuwa hamtamwaga damu zenu, wala hamtatoana majumbani mwenu; nanyi mkakubali
  9. Na wanapo ambiwa: Njooni kwenye yale aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, na kwa Mtume, husema: Yanatutosha
  10. Na tulisema: Ewe Adam! Kaa wewe na mkeo katika Bustani, na kuleni humo maridhawa popote

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Saff with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Saff mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Saff Complete with high quality
Surah Saff Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Saff Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Saff Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Saff Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Saff Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Saff Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Saff Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Saff Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Saff Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Saff Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Saff Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Saff Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Saff Al Hosary
Al Hosary
Surah Saff Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Saff Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, August 22, 2025

Please remember us in your sincere prayers