Surah Qaf aya 42 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَوْمَ يَسْمَعُونَ الصَّيْحَةَ بِالْحَقِّ ۚ ذَٰلِكَ يَوْمُ الْخُرُوجِ﴾
[ ق: 42]
Siku watakapo sikia ukelele wa haki. Hiyo ndiyo siku ya kufufuka.
Surah Qaf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
The Day they will hear the blast [of the Horn] in truth. That is the Day of Emergence [from the graves].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Siku watakapo sikia ukelele wa haki. Hiyo ndiyo siku ya kufufuka.
Siku watapo sikia mpulizo wa pili wa Haki, nao ni wa kufufuliwa watu. Hiyo ndiyo siku ya kutoka kwenye makaburi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ni vya Mwenyezi Mungu vyote viliomo mbinguni na katika ardhi. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mkwasi,
- Na mtaje katika Kitabu Idris. Hakika yeye alikuwa ni mkweli Nabii.
- Wanao subiri, wanao sema kweli, na wat'iifu, na wanao toa sadaka, na wanao omba maghafira
- Ninaapa kwa Siku ya Kiyama!
- Ni rehema itokayo kwa Mola wako Mlezi. Hakika Yeye ni Mwenye kusikia Mwenye kujua.
- (Akasema:) Nirudishieni! Akaanza kuwapapasa miguu na shingo.
- Mola wetu Mlezi! Wewe ndiye Mkusanyaji wa watu kwa Siku isiyo na shaka ndani yake.
- Kwa Haki ya Qur'ani yenye hikima!
- Wala hukuwa kando ya mlima tulipo nadi. Lakini ni rehema itokayo kwa Mola wako Mlezi
- Hakika walio amini na wakatenda mema, Mola wao Mlezi atawaongoa kwa sababu ya Imani yao.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qaf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qaf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers