Surah Tariq aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمَا أَدْرَاكَ مَا الطَّارِقُ﴾
[ الطارق: 2]
Na nini kitakacho kujuulisha ni nini hicho Kinacho kuja usiku?
Surah At-Tariq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And what can make you know what is the night comer?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na nini kitakacho kujuulisha ni nini hicho Kinacho kuja usiku?
Na kitu gani kitakujuvya ukweli wa nyota hii? Ni hiyo inayotoa mwanga wake katika giza.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Bali alikanusha, na akageuka.
- Na katika Ishara zake ni kuumba mbingu na ardhi, na kutafautiana ndimi zenu na rangi
- Jueni kuwa vipenzi vya Mwenyezi Mungu hawatakuwa na khofu wala hawatahuzunika.
- Na bila shaka Jahannamu ndipo pahali pao walipo ahidiwa wote.
- Siku tutayo yashambulia mashambulio makubwa, bila ya shaka Sisi ni wenye kutesa.
- Na yakakusanywa yaliomo vifuani?
- Na najikinga kwako, Mola wangu Mlezi, wasinikaribie.
- Sema: Kweli imefika, na uwongo haujitokezi, wala haurudi.
- Ili tukuonyeshe baadhi ya ishara zetu kubwa.
- Na akiambiwa: Mwogope Mwenyezi Mungu, hupandwa na mori wa kutenda madhambi. Basi huyo inamtosha Jahannam.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tariq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tariq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tariq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



