Surah Tawbah aya 97 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Tawbah aya 97 in arabic text(The Repentance).
  
   

﴿الْأَعْرَابُ أَشَدُّ كُفْرًا وَنِفَاقًا وَأَجْدَرُ أَلَّا يَعْلَمُوا حُدُودَ مَا أَنزَلَ اللَّهُ عَلَىٰ رَسُولِهِ ۗ وَاللَّهُ عَلِيمٌ حَكِيمٌ
[ التوبة: 97]

Mabedui wamezidi sana katika ukafiri na unaafiki, na wameelekea zaidi kutojua mipaka ya aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu juu ya Mtume wake. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi Mwenye hikima.

Surah At-Tawbah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


The bedouins are stronger in disbelief and hypocrisy and more likely not to know the limits of what [laws] Allah has revealed to His Messenger. And Allah is Knowing and Wise.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Mabedui wamezidi sana katika ukafiri na unaafiki, na wameelekea zaidi kutojua mipaka ya aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu juu ya Mtume wake. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi Mwenye hikima.


Mabedui, Waarabu wa majangwani, ndio wakubwa wa kuikataa Haki na wa unaafiki. Hao hakika wamefika upeo wa mwisho katika hayo. Na hayo ni hivyo kwa kuwa wao wapo mbali na maarifa na mwahali mwenye vitovu vya ilimu. Na wao ndio wameelekea zaidi kuwa wasiijue mipaka ya Mwenyezi Mungu, na aliyo mteremshia Mtume wake katika sharia na hukumu. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa pande zote mbili, na ni Mwenye hikima katika malipo anayo yakadiria.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 97 from Tawbah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na Yeye ndiye aliyeizuia mikono yao kwenu, na mikono yenu kwao, katika bonde la Makka
  2. Basi, simama sawa sawa kama ulivyo amrishwa, wewe na wale wanao elekea kwa Mwenyezi Mungu
  3. Sisi tunajua zaidi watakayo yasema, atakapo sema mbora wao katika mwendo: Nyinyi hamkukaa ila siku
  4. Na wanakuhimiza ulete maovu kabla ya mema, hali ya kuwa zimekwisha pita kabla yao adhabu
  5. Na neema yoyote mliyo nayo inatoka kwa Mwenyezi Mungu. Kisha yakikuguseni madhara mnamyayatikia Yeye.
  6. Basi mkifanya wema, mnajifanyia wema nafsi zenu. Na mkifanya ubaya, mnajifanyia wenyewe. Na ikifika ahadi
  7. Na hakika utawaona ni wenye kuwashinda watu wote kwa pupa ya kuishi, na kuliko washirikina.
  8. Na waozeni wajane miongoni mwenu na wema katika watumwa wenu na wajakazi wenu. Wakiwa mafakiri
  9. Kilipo ufunika huo Mkunazi hicho kilicho ufunuika.
  10. Na wapo baadhi yao wanao pindua ndimi zao katika kusoma Kitabu ili mdhanie kuwa hayo

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Tawbah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Tawbah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tawbah Complete with high quality
Surah Tawbah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Tawbah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Tawbah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Tawbah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Tawbah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Tawbah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Tawbah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Tawbah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Tawbah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Tawbah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Tawbah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Tawbah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Tawbah Al Hosary
Al Hosary
Surah Tawbah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Tawbah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, December 4, 2025

Please remember us in your sincere prayers