Surah Maarij aya 38 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Maarij aya 38 in arabic text(The Ways of Ascent).
  
   

﴿أَيَطْمَعُ كُلُّ امْرِئٍ مِّنْهُمْ أَن يُدْخَلَ جَنَّةَ نَعِيمٍ﴾
[ المعارج: 38]

Kwani kila mmoja wao anatumai kuingizwa katika Pepo ya neema?

Surah Al-Maarij in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Does every person among them aspire to enter a garden of pleasure?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kwani kila mmoja wao anatumai kuingizwa katika Pepo ya neema?


Je, kwani kila mmoja wao ana tamaa ya kuingia kwenye Pepo yenye neema, baada ya kusikia kuwa Mwenyezi Mungu amemuahidi Mtume wake na Waumini kuwatia Peponi?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 38 from Maarij


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na walisema walio kufuru: Haitatufikia Saa (ya Kiyama). Sema: Kwani? Hapana shaka itakufikieni, naapa kwa
  2. Hao ndio walio kufuru na wakakuzuieni msiingie Msikiti Mtakatifu, na wakawazuilia dhabihu kufika mahala pao.
  3. Wala hawatoi cha kutoa kidogo wala kikubwa, wala hawalivuki bonde, ila huandikiwa, ili Mwenyezi Mungu
  4. Na pale Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni
  5. Na walio kufuru wakawaambia Mitume wao: Tutakutoeni katika nchi yetu, au mrudi katika mila yetu.
  6. Basi yanayo tarajiwa kwenu mkitawala ndio mfisidi katika nchi na mwatupe jamaa zenu?
  7. Hakika yeye hana madaraka juu ya walio amini na wakamtegemea Mola wao Mlezi.
  8. Sema: Kwa fadhila ya Mwenyezi Mungu na rehema yake! Basi nawafurahi kwa hayo. Haya ni
  9. Sema: Ni nani Mola Mlezi wa mbingu na ardhi? Sema: Mwenyezi Mungu. Sema: Basi je,
  10. Sema: Mola wangu Mlezi! Hukumu kwa haki. Na Mola wetu Mlezi ni Mwingi wa Rehema,

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Maarij with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Maarij mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maarij Complete with high quality
Surah Maarij Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Maarij Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Maarij Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Maarij Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Maarij Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Maarij Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Maarij Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Maarij Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Maarij Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Maarij Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Maarij Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Maarij Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Maarij Al Hosary
Al Hosary
Surah Maarij Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Maarij Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, April 24, 2025

Please remember us in your sincere prayers