Surah Ankabut aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
Ayats from Quran in Swahili
- Kwa hakika wewe ni mwonyaji tu kwa mwenye kuikhofu.
- Yeye ndiye aliye kuumbieni vyote vilivyomo katika ardhi. Tena akazielekea mbingu, na akazifanya mbingu saba.
- Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni?
- Enyi mlio amini! Ikiwa mtawat'ii walio kufuru watakurudisheni nyuma, na hapo mtageuka kuwa wenye kukhasiri.
- Basi Malaika wote pamoja walimsujudia,
- Tukayaziba masikio yao kuwalaza humo pangoni kwa muda wa miaka kadhaa wa kadhaa.
- Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!
- Wanamkimbilia mwitaji, na makafiri wanasema: Hii ni siku ngumu.
- Je! Mtaachwa salama usalimina katika haya yaliyopo hapa?
- Na tukambainishia zote njia mbili?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ankabut with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ankabut mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ankabut Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers