Surah Maun aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَرَأَيْتَ الَّذِي يُكَذِّبُ بِالدِّينِ﴾
[ الماعون: 1]
Je! Umemwona anaye kadhibisha Malipo?
Surah Al-Maun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Have you seen the one who denies the Recompense?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Je! Umemwona anaye kadhibisha Malipo?
Unamjua anaye kanusha malipo na hisabu ya Akhera?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Au wao wanao miungu watao weza kuwakinga nasi? Hao hawawezi kujinusuru nafsi zao, wala hawatalindwa
- Na kaumu ngapi tuliziangamiza zilizo kuwa na mapambo mazuri zaidi na wazuri zaidi kwa kuwatazama!
- Isipo kuwa yule aliye niumba, kwani Yeye ataniongoa.
- Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwaacha Waumini katika hali mliyo nayo mpaka apambanue wabaya na wema.
- Na walikuwa wakisema: Tutakapo kufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndio tutafufuliwa?
- Chakula hicho hawakili ila wakosefu.
- Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa
- Siku watapo sukumwa kwenye Moto kwa msukumo wa nguvu,
- Sema: Enyi mlio Mayahudi! Ikiwa nyinyi mnadai kuwa ni vipenzi vya Mwenyezi Mungu pasipo kuwa
- Watakao geuka baada ya haya basi hao ndio wapotovu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers