Surah Muzammil aya 14 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Muzammil aya 14 in arabic text(The Enfolded One).
  
   

﴿يَوْمَ تَرْجُفُ الْأَرْضُ وَالْجِبَالُ وَكَانَتِ الْجِبَالُ كَثِيبًا مَّهِيلًا﴾
[ المزمل: 14]

Siku ambayo ardhi itatikiswa na milima pia, na milima itakuwa kama tifutifu la mchanga!

Surah Al-Muzzammil in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


On the Day the earth and the mountains will convulse and the mountains will become a heap of sand pouring down.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Siku ambayo ardhi itatikiswa na milima pia, na milima itakuwa kama tifutifu la mchanga.


Siku itakapo tikisika ardhi na milima kwa mtikiso mkubwa mno, na milima ikawa mirundu ya mchanga ulio tapanyika, baada ya kuwa mawe magumu yaliyo shikamana.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 14 from Muzammil


Ayats from Quran in Swahili

  1. Walio ambiwa na watu: Kuna watu wamekukusanyikieni, waogopeni! Hayo yakawazidishia Imani, wakasema: Mwenyezi Mungu anatutosha,
  2. Hakika wasio ziamini Ishara za Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu hawaongoi, nao watapata adhabu chungu.
  3. Na atakaye mjia naye ni Muumini aliye tenda mema, basi hao ndio wenye vyeo vya
  4. Na waheshimiwa walio kufuru katika kaumu yake wakasema: Mkimfuata Shua'ib, basi hakika hapo nyinyi mtakuwa
  5. Na ukiwauliza: Nani aliye ziumba mbingu na ardhi? Bila ya shaka watasema: Kaziumba Mwenye nguvu,
  6. Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali.
  7. Na katika khabari za Thamudi walipo ambiwa: Jifurahisheni kwa muda mdogo tu.
  8. Akasema: Yeye anasema: Kuwa huyo ni ng'ombe asiye tiwa kazini kulima ardhi wala kumwagia maji
  9. Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura.
  10. Kauli njema na usamehevu ni bora kuliko sadaka inayo fuatiliwa na maudhi. Na Mwenyezi Mungu

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Muzammil with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Muzammil mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muzammil Complete with high quality
Surah Muzammil Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Muzammil Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Muzammil Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Muzammil Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Muzammil Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Muzammil Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Muzammil Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Muzammil Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Muzammil Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Muzammil Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Muzammil Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Muzammil Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Muzammil Al Hosary
Al Hosary
Surah Muzammil Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Muzammil Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, February 2, 2025

Please remember us in your sincere prayers