Surah Araf aya 72 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَأَنجَيْنَاهُ وَالَّذِينَ مَعَهُ بِرَحْمَةٍ مِّنَّا وَقَطَعْنَا دَابِرَ الَّذِينَ كَذَّبُوا بِآيَاتِنَا ۖ وَمَا كَانُوا مُؤْمِنِينَ﴾
[ الأعراف: 72]
Basi tukamwokoa yeye na walio kuwa pamoja naye kwa rehema zetu, na tukakata mizizi ya wale walio zikanusha Ishara zetu, na hawakuwa wenye kuamini.
Surah Al-Araf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So We saved him and those with him by mercy from Us. And We eliminated those who denied Our signs, and they were not [at all] believers.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi tukamwokoa yeye na walio kuwa pamoja naye kwa rehema zetu, na tukakata mizizi ya wale walio zikanusha Ishara zetu, na hawakuwa wenye kuamini.
Basi Sisi tukamwokoa aad na walio amini pamoja naye kwa rehema yetu, na tukawateremshia makafiri cha kuwateketeza, na hapana chao kilicho bakia wala hapana athari yao, na wala hawakuingia katika kundi la Waumini.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwa hakika watu hawa wanapenda maisha ya kidunia, na wanaiacha nyuma yao siku nzito.
- Walikuwa wakilala kidogo tu usiku.
- Ambacho ni Uwongofu na Ukumbusho kwa wenye akili.
- Na tukawaumbia kutoka mfano wake wanavyo vipanda.
- Siku kitapo tetemeka cha kutetemeka,
- Hapo kila nafsi itajua ilicho tanguliza, na ilicho bakisha nyuma.
- Ambaye ameziumba mbingu na ardhi, na viliomo ndani yake kwa siku sita. Kisha akatawala juu
- Ati tukisha kufa na tukawa udongo na mifupa ndio kweli tutafufuliwa?
- Basi anaye taka atakumbuka.
- Humo wataegemea matakia, wawe wanaagiza humo matunda mengi na vinywaji.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers