Surah Ahzab aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ahzab aya 1 in arabic text(Confederates - The Combined Forces).
  
   

﴿يَا أَيُّهَا النَّبِيُّ اتَّقِ اللَّهَ وَلَا تُطِعِ الْكَافِرِينَ وَالْمُنَافِقِينَ ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ عَلِيمًا حَكِيمًا
[ الأحزاب: 1]

Ewe Nabii! Mche Mwenyezi Mungu wala usiwat'ii makafiri na wanaafiki. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye hikima.

Surah Al-Ahzab in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


O Prophet, fear Allah and do not obey the disbelievers and the hypocrites. Indeed, Allah is ever Knowing and Wise.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Ewe Nabii! Mche Mwenyezi Mungu wala usiwatii makafiri na wanaafiki. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye hikima.


Ewe Nabii endelea hivyo hivyo, kama ulivyo, kumcha Mwenyezi Mungu, wala usiyakubali mawazo ya makafiri na wanaafiki. Kwa hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuvizunguka vitu vyote kwa kuvijua, ni Mwenye hikima katika kauli yake na vitendo vyake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 1 from Ahzab


Ayats from Quran in Swahili

  1. Akasema: Yeye anasema: Kuwa huyo ni ng'ombe asiye tiwa kazini kulima ardhi wala kumwagia maji
  2. Na migomba iliyo pangiliwa,
  3. Na Zakariya alipo mwita Mola wake Mlezi: Mola wangu Mlezi! Usiniache peke yangu, na Wewe
  4. Wakasema: Sisi hatukuvunja miadi yako kwa khiari yetu, lakini tulibebeshwa mizigo ya mapambo ya watu,
  5. Na Yeye ndiye anaye anzisha uumbaji, kisha ataurudisha mara nyengine. Na jambo hili ni jepesi
  6. Na ni tangazo kutokana na Mwenyezi Mungu na Mtume wake kwa wote siku ya Hija
  7. Akasema: Ewe mwana wa mama yangu! Usinishike ndevu zangu, wala kichwa changu. Kwa hakika naliogopa
  8. Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?
  9. Ama wale ambao nyuso zao zitanawiri watakuwa katika rehema ya Mwenyezi Mungu. Wao humo watadumu.
  10. (Akaambiwa): Ewe Zakariya! Hakika Sisi tunakubashiria mwana; jina lake ni Yahya. Hatujapata kumpa jina hilo

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ahzab with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ahzab mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ahzab Complete with high quality
Surah Ahzab Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ahzab Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ahzab Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ahzab Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ahzab Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ahzab Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ahzab Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Ahzab Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ahzab Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ahzab Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ahzab Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ahzab Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ahzab Al Hosary
Al Hosary
Surah Ahzab Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ahzab Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 12, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب