Surah Qalam aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ن ۚ وَالْقَلَمِ وَمَا يَسْطُرُونَ﴾
[ القلم: 1]
Nuun. Naapa kwa kalamu na yale wayaandikayo,
Surah Al-Qalam in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Nun. By the pen and what they inscribe,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Nuun. Naapa kwa kalamu na yale wayaandikayo!
Nuun, ndio harufi ya N, iliyo anzia Sura hii ni kama kupinzana na hao wanao kadhibisha, na ili kuwazindua wenye kusadiki. Naapa kwa kalamu wanayo andikia Malaika na wenginewe, na hayo mambo ya kheri na manufaa wanayo yaandika,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na tumemwachia (sifa nzuri) kwa walio kuja baadaye.
- Na tukawafanya miongoni mwao waongozi wanao ongoa watu kwa amri yetu, walipo subiri na wakawa
- Na walipo sema: Ee Mwenyezi Mungu! Ikiwa haya ni kweli itokayo kwako basi tunyeshee mawe
- Na pindi wakikushikilia kunishirikisha na ambayo huna ilimu nayo, basi usiwat'ii. Lakini kaa nao kwa
- Je! Huoni ya kwamba Mwenyezi Mungu huyasukuma mawingu, kisha huyaambatisha, kisha huyafanya mirundi? Basi utaona
- Bustani za milele zitazo funguliwa milango yao kwa ajili yao.
- Mkisema: Hakika sisi tumegharimika;
- Kwa siku ya kupambanua!
- Na tumekwisha bainisha katika Qur'ani hii ili wapate kukumbuka. Lakini haikuwazidisha ila kuwa mbali nayo.
- Na wasimamisheni. Hakika hao watasailiwa:
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



