Surah Al Alaq aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿خَلَقَ الْإِنسَانَ مِنْ عَلَقٍ﴾
[ العلق: 2]
Amemuumba binaadamu kwa tone la damu,
Surah Al-Alaq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Created man from a clinging substance.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Amemuumba binaadamu kwa tone la damu!
Amemuumba mtu kwa ukamilifu wa mwili wake na ilimu kutokana na kipande cha damu ambacho hakina chochote cha kupelekea kujiona bora.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ametukuka aliye teremsha Furqani kwa mja wake, ili awe mwonyaji kwa walimwengu wote.
- Lakini tukiwaondolea adhabu mpaka muda fulani wao waufikie, mara wakivunja ahadi yao.
- Naye ndiye Mwenye nguvu juu ya waja wake, na ndiye Mwenye hikima na Mwenye khabari
- Akasema: Je, nikutafutieni mungu asiye kuwa Mwenyezi Mungu, na Yeye ndiye aliye kufadhilisheni juu ya
- La! Hajamaliza aliyo muamuru.
- Mwenyezi Mungu amewaandalia adhabu kali. Kwa hakika waliyo kuwa wakiyatenda ni maovu kabisa.
- Waingie kuulizana wenyewe kwa wenyewe.
- Hakika haya ndiyo mliyo kuwa mkiyatilia shaka.
- Siku hiyo ndiyo kuchungwa kupelekwa kwa Mola wako Mlezi!
- Mola wetu Mlezi! Wape wao adhabu mara mbili, na uwalaani laana kubwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Alaq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Alaq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Alaq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



