Surah Al Alaq aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿خَلَقَ الْإِنسَانَ مِنْ عَلَقٍ﴾
[ العلق: 2]
Amemuumba binaadamu kwa tone la damu,
Surah Al-Alaq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Created man from a clinging substance.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Amemuumba binaadamu kwa tone la damu!
Amemuumba mtu kwa ukamilifu wa mwili wake na ilimu kutokana na kipande cha damu ambacho hakina chochote cha kupelekea kujiona bora.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wasipo kuitikieni, basi jueni ya kwamba (hii Qur'ani) imeteremshwa kwa ujuzi wa Mwenyezi Mungu,
- Na kwa yakini tulimpa Musa ishara tisa zilizo wazi. Waulize Wana wa Israili alipo wafikia,
- Je! Mnayaona maji mnayo yanywa?
- Na walio kufuru, basi kwao ni maangamizo, na atavipoteza vitendo vyao.
- Hakika wanao amini na wakatenda mema watakuwa na ujira usio na ukomo.
- Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.
- Na uwainamishie bawa la unyenyekevu kwa kuwaonea huruma. Na useme: Mola wangu Mlezi! Warehemu kama
- Hakika Mola wako Mlezi atawahukumu kwa hukumu yake, naye ni Mwenye nguvu Mjuzi.
- Hayakuwa haya ila ni ufunuo ulio funuliwa;
- Ni wafu si wahai, na wala hawajui watafufuliwa lini.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Alaq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Alaq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Alaq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers