Surah Al Hashr aya 10 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Hashr aya 10 in arabic text(The Mustering).
  
   

﴿وَالَّذِينَ جَاءُوا مِن بَعْدِهِمْ يَقُولُونَ رَبَّنَا اغْفِرْ لَنَا وَلِإِخْوَانِنَا الَّذِينَ سَبَقُونَا بِالْإِيمَانِ وَلَا تَجْعَلْ فِي قُلُوبِنَا غِلًّا لِّلَّذِينَ آمَنُوا رَبَّنَا إِنَّكَ رَءُوفٌ رَّحِيمٌ﴾
[ الحشر: 10]

Na walio kuja baada yao wanasema: Mola wetu Mlezi! Tughufirie sisi na ndugu zetu walio tutangulia kwa Imani, wala usijaalie ndani ya nyoyo zetu undani kwa walio amini. Mola wetu Mlezi! Hakika Wewe ni Mpole na Mwenye kurehemu.

Surah Al-Hashr in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And [there is a share for] those who came after them, saying, "Our Lord, forgive us and our brothers who preceded us in faith and put not in our hearts [any] resentment toward those who have believed. Our Lord, indeed You are Kind and Merciful."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na walio kuja baada yao wanasema: Mola wetu Mlezi! Tughufirie sisi na ndugu zetu walio tutangulia kwa Imani, wala usijaalie ndani ya nyoyo zetu undani kwa walio amini. Mola wetu Mlezi! Hakika Wewe ni Mpole na Mwenye kurehemu.


Na Waumini walio kuja baada ya Wahajiri na Ansari husema: Mola wetu Mlezi! Tusamehe dhambi zetu, sisi na ndugu zetu walio tutangulia katika Imani. Wala usijaalie kuwa katika nyoyo zetu husda kuwahusudu walio amini. Mola wetu Mlezi! Hakika Wewe umefika ukomo katika upole na kurehemu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 10 from Al Hashr


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Al Hashr with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Al Hashr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Hashr Complete with high quality
    Surah Al Hashr Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Al Hashr Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Al Hashr Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Al Hashr Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Al Hashr Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Al Hashr Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Al Hashr Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Al Hashr Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Al Hashr Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Al Hashr Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Al Hashr Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Al Hashr Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Al Hashr Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Al Hashr Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Al Hashr Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Friday, May 2, 2025

    Please remember us in your sincere prayers