Surah Al Isra aya 90 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَقَالُوا لَن نُّؤْمِنَ لَكَ حَتَّىٰ تَفْجُرَ لَنَا مِنَ الْأَرْضِ يَنبُوعًا﴾
[ الإسراء: 90]
Na walisema: Hatutakuamini mpaka ututimbulie chemchem katika ardhi hii.
Surah Al-Isra in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they say, "We will not believe you until you break open for us from the ground a spring.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na walisema: Hatutakuamini mpaka ututimbulie chemchem katika ardhi hii.
Ilipo dhihiri kushindwa kwao na Qurani, na wakabanwa kwa hoja, wakataka waletewe ishara nyingine na miujiza mingine. Hicho ni kitendo cha mwenye kushindwa hoja, aliye emewa na kutahayari. Ndio wakasema: Hatutokuamini mpaka ututimbulie katika ardhi ya Makka chemchem ambayo maji yake hayakatiki.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hakika mlikwisha yajua ya wale miongoni mwenu walio ivunja Sabato, (siku ya mapumziko, Jumaa
- Na jueni ya kwamba mali zenu na wana wenu ni Fitna (mtihani), na kwamba kwa
- Enyi mlio amini! Wanaume wasiwadharau wanaume wenzao, wala wanawake wasiwadharau wanawake wenzao. Huenda hao wakawa
- Na wengine walikiri dhambi zao, wakachanganya vitendo vyema na vingine viovu. Asaa Mwenyezi Mungu akapokea
- Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
- Na tunapo waonjesha watu rehema baada ya shida waliyo ipata, utawaona wana vitimbi kuzipangia Ishara
- Humo wataegemea juu ya viti vya enzi, hawataona humo jua kali wala baridi kali.
- Walikanusha kabla yao kaumu ya Nuhu, na kina A'adi na Firauni mwenye majengo.
- Asaa Mola wake Mlezi, akikupeni talaka, akampa wake wengine badala yenu nyinyi, walio bora kuliko
- Mwenyezi Mungu aliye ziinua mbingu bila ya nguzo mnazo ziona, ametawala kwenye Ufalme wake, na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Isra with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Isra mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Isra Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers