Surah Hud aya 114 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hud aya 114 in arabic text(Hud).
  
   
ayat 114 from Surah Hud

﴿وَأَقِمِ الصَّلَاةَ طَرَفَيِ النَّهَارِ وَزُلَفًا مِّنَ اللَّيْلِ ۚ إِنَّ الْحَسَنَاتِ يُذْهِبْنَ السَّيِّئَاتِ ۚ ذَٰلِكَ ذِكْرَىٰ لِلذَّاكِرِينَ
[ هود: 114]

Na shika Sala katika ncha mbili za mchana na nyakati za usiku zilizo karibu na mchana. Hakika mema huondoa maovu. Huu ni ukumbusho kwa wanao kumbuka.

Surah Hud in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And establish prayer at the two ends of the day and at the approach of the night. Indeed, good deeds do away with misdeeds. That is a reminder for those who remember.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na shika Swala katika ncha mbili za mchana na nyakati za usiku zilizo karibu na mchana. Hakika mema huondoa maovu. Huu ni ukumbusho kwa wanao kumbuka.


Ewe Nabii! Timiza Swala kwa ukamilifu katika ncha mbili za mchana, na nyakati mbali mbali za usiku. Kwani Swala husafisha nafsi na hushinda katika kungoa shari, na hufuta athari ya maovu ambayo mwanaadamu shida kuepukana nayo! Hayo uliyo amrishwa, ewe Nabii, katika uwongofu wa kheri ni mawaidha ya kuwanufaisha wale ambao walio tayari kuyakubali, ambao kwamba wanamkumbuka Mola wao Mlezi, wala hawamsahau.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 114 from Hud


Ayats from Quran in Swahili

  1. Walikuwa wakilala kidogo tu usiku.
  2. Hakika sisi tumemuamini Mola wetu Mlezi ili atusamehe makosa yetu na uchawi ulio tulazimisha kuufanya.
  3. Huwaoni wanao fanya unaafiki wanawaambia ndugu zao walio kufuru katika Watu wa Kitabu: Mkitolewa na
  4. Wanafikiri yale makundi ya maadui hayajaondoka. Na yakija hayo makundi watatamani laiti wao wako majangwani
  5. Na malipo ya uovu ni uovu mfano wa huo. Lakini mwenye kusamehe, na akasuluhisha, basi
  6. Enyi mlio amini! Toeni katika vile vizuri mlivyo vichuma, na katika vile tulivyo kutoleeni katika
  7. Hao kweli ndio Waumini. Wao wana vyeo, na maghfira, na riziki bora, kwa Mola wao
  8. Hakika wale walio kufuru, na wakafa hali ni makafiri haitakubaliwa kutoka kwa yeyote wao fidia
  9. Basi tulitaka Mola wao Mlezi awabadilishie aliye bora zaidi kuliko huyo kwa kutakasika, na aliye
  10. Basi tukaufanya upepo umtumikie, ukenda kwa amri yake, popote alipo taka kufika.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hud with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hud mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hud Complete with high quality
Surah Hud Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hud Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hud Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hud Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hud Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hud Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hud Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Hud Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hud Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hud Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hud Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hud Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hud Al Hosary
Al Hosary
Surah Hud Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hud Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, May 10, 2025

Please remember us in your sincere prayers