Surah Sad aya 33 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿رُدُّوهَا عَلَيَّ ۖ فَطَفِقَ مَسْحًا بِالسُّوقِ وَالْأَعْنَاقِ﴾
[ ص: 33]
(Akasema:) Nirudishieni! Akaanza kuwapapasa miguu na shingo.
Surah Saad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[He said], "Return them to me," and set about striking [their] legs and necks.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Nirudishieni! Akaanza kuwapapasa miguu na shingo.
Akaamrisha warudishwe tena kwake apate kujua hali yao. Akaingia kuwapapasa miundi ya miguu yao na shingo zao kwa upole na mapenzi juu yao.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na Mitume watakapo wekewa wakati wao,
- Hayo ni malipo yao kwa sababu walizikataa ishara zetu, na wakasema: Hivyo tukisha kuwa mifupa
- Huu ni uwongofu. Na wale wale walio zikataa Ishara za Mola wao Mlezi watapata adhabu
- Wala hahimizi kumlisha masikini.
- Basi wape muhula makafiri - wape muhula pole pole.
- Na hakika tulimtuma Musa pamoja na Ishara zetu na uthibitisho ulio wazi
- Hawatazami kwa Muumini udugu wala ahadi; basi hao ndio warukao mipaka.
- Sisi ni vipenzi vyenu katika maisha ya dunia na katika Akhera, na humo mtapata kinacho
- Hakika katika haya yapo mawaidha kwa watu wafanyao ibada.
- Na lau kuwa watu wa miji wangeli amini na wakamchamngu, kwa yakini tungeli wafungulia baraka
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



