Surah Talaq aya 12 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Talaq aya 12 in arabic text(Divorce).
  
   

﴿اللَّهُ الَّذِي خَلَقَ سَبْعَ سَمَاوَاتٍ وَمِنَ الْأَرْضِ مِثْلَهُنَّ يَتَنَزَّلُ الْأَمْرُ بَيْنَهُنَّ لِتَعْلَمُوا أَنَّ اللَّهَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ وَأَنَّ اللَّهَ قَدْ أَحَاطَ بِكُلِّ شَيْءٍ عِلْمًا﴾
[ الطلاق: 12]

Mwenyezi Mungu ni yule ambaye ameziumba mbingu saba, na ardhi kwa mfano wa hizo. Amri zake zinashuka baina yao, ili mjue kwamba Mwenyezi Mungu ni Mwenye uweza juu ya kila kitu, na kwamba Mwenyezi Mungu amekizunguka kila kitu kukijua vilivyo kwa ilimu yake.

Surah At-Talaq in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


It is Allah who has created seven heavens and of the earth, the like of them. [His] command descends among them so you may know that Allah is over all things competent and that Allah has encompassed all things in knowledge.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Mwenyezi Mungu ni yule ambaye ameziumba mbingu saba, na ardhi kwa mfano wa hizo. Amri zake zinashuka baina yao, ili mjue kwamba Mwenyezi Mungu ni Mwenye uweza juu ya kila kitu, na kwamba Mwenyezi Mungu amekizunguka kila kitu kukijua vilivyo kwa ilimu yake.


Mwenyezi Mungu peke yake ndiye aliye umba mbingu saba, na ardhi mfano wa hizo. Amri yake inapita kote, ili mjue kwamba Mwenyezi Mungu ni mtimilivu wa uweza, na kwamba Mwenyezi Mungu amevizunguka vitu vyote kwa ujuzi wake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 12 from Talaq


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kwani! Hakika mtu bila ya shaka huwa jeuri
  2. Nileteeni vipande vya chuma. Hata alipo ijaza nafasi iliyo kati ya milima miwili, akasema: Vukuteni.
  3. Na wanapo somewa Aya zetu zilizo wazi, walio kufuru huwaambia walio amini: Lipi katika makundi
  4. Na wale ambao wanatoa walicho pewa, na hali nyoyo zao zinagopa kwa kuwa watarejea kwa
  5. Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu, ambaye amemteremshia mja wake Kitabu, wala hakukifanya kina upogo.
  6. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
  7. Basi khofu ilipo mwondoka Ibrahim, na ikawa ile bishara imemfikia, alianza kujadiliana nasi juu ya
  8. Na kila mmoja anao upande anao elekea. Basi shindanieni mema. Popote mlipo Mwenyezi Mungu atakuleteni
  9. Tungeli penda tungeli yafanya ya chumvi. Basi mbona hamshukuru?
  10. Wanafikiri yale makundi ya maadui hayajaondoka. Na yakija hayo makundi watatamani laiti wao wako majangwani

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Talaq with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Talaq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Talaq Complete with high quality
Surah Talaq Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Talaq Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Talaq Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Talaq Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Talaq Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Talaq Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Talaq Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Talaq Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Talaq Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Talaq Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Talaq Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Talaq Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Talaq Al Hosary
Al Hosary
Surah Talaq Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Talaq Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, April 1, 2025

Please remember us in your sincere prayers