Surah Talaq aya 12 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Talaq aya 12 in arabic text(Divorce).
  
   

﴿اللَّهُ الَّذِي خَلَقَ سَبْعَ سَمَاوَاتٍ وَمِنَ الْأَرْضِ مِثْلَهُنَّ يَتَنَزَّلُ الْأَمْرُ بَيْنَهُنَّ لِتَعْلَمُوا أَنَّ اللَّهَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ وَأَنَّ اللَّهَ قَدْ أَحَاطَ بِكُلِّ شَيْءٍ عِلْمًا﴾
[ الطلاق: 12]

Mwenyezi Mungu ni yule ambaye ameziumba mbingu saba, na ardhi kwa mfano wa hizo. Amri zake zinashuka baina yao, ili mjue kwamba Mwenyezi Mungu ni Mwenye uweza juu ya kila kitu, na kwamba Mwenyezi Mungu amekizunguka kila kitu kukijua vilivyo kwa ilimu yake.

Surah At-Talaq in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


It is Allah who has created seven heavens and of the earth, the like of them. [His] command descends among them so you may know that Allah is over all things competent and that Allah has encompassed all things in knowledge.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Mwenyezi Mungu ni yule ambaye ameziumba mbingu saba, na ardhi kwa mfano wa hizo. Amri zake zinashuka baina yao, ili mjue kwamba Mwenyezi Mungu ni Mwenye uweza juu ya kila kitu, na kwamba Mwenyezi Mungu amekizunguka kila kitu kukijua vilivyo kwa ilimu yake.


Mwenyezi Mungu peke yake ndiye aliye umba mbingu saba, na ardhi mfano wa hizo. Amri yake inapita kote, ili mjue kwamba Mwenyezi Mungu ni mtimilivu wa uweza, na kwamba Mwenyezi Mungu amevizunguka vitu vyote kwa ujuzi wake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 12 from Talaq


Ayats from Quran in Swahili

  1. Ambao ni wanyenyekevu katika Sala zao,
  2. Hakika Sisi tunajua kiasi cha kila kinacho punguzwa na ardhi kutokana nao. Na kwetu kipo
  3. Wala wasikuhuzunishe wale wanao kimbilia ukafirini. Hakika hao hawamdhuru kitu Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu anataka
  4. Wakikukanusha basi wewe sema: Mola Mlezi wenu ni Mwenye rehema iliyo enea. Wala haizuiliki adhabu
  5. Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao. Na kwa Mwenyezi Mungu yatarejeshwa mambo yote.
  6. Hakika Mwenyezi Mungu na Malaika wake wanamsalia Nabii. Enyi mlio amini! Msalieni na mumsalimu kwa
  7. Na naapa kwa mzazi na alicho kizaa.
  8. Na siku watakapo letwa walio kufuru kwenye Moto wataambiwa: Nyinyi mlitwaa vitu vyenu vizuri katika
  9. Basi ingoje siku ambayo mbingu zitakapo leta moshi ulio dhaahiri,
  10. Basi ilipo wajia Haki kutoka kwetu walisema: Hakika huu ni uchawi dhaahiri.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Talaq with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Talaq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Talaq Complete with high quality
Surah Talaq Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Talaq Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Talaq Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Talaq Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Talaq Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Talaq Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Talaq Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Talaq Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Talaq Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Talaq Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Talaq Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Talaq Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Talaq Al Hosary
Al Hosary
Surah Talaq Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Talaq Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, April 21, 2025

Please remember us in your sincere prayers