Surah Araf aya 120 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأُلْقِيَ السَّحَرَةُ سَاجِدِينَ﴾
[ الأعراف: 120]
Na wachawi wakapoomoka wakisujudu.
Surah Al-Araf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And the magicians fell down in prostration [to Allah].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wachawi wakapoomoka wakisujudu.
Haya ni mambo yaliyo wafika Firauni na waheshimiwa wake. Ama wale wachawi Haki iliangaza kwao, na wakaanguka kwa kumsujudia Mwenyezi Mungu nao wanainyenyekea Haki.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi Mola wake Mlezi akamwitikia, na akamwondoshea vitimbi vyao. Hakika Yeye ni Msikizi Mjuzi.
- Na nyama za ndege kama wanavyo tamani.
- Bila ya shaka mnaye niitia kumuabudu hastahiki wito duniani wala Akhera. Na hakika marejeo yetu
- Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
- Na angalia pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Kwa hakika Mwenyezi Mungu amekuteuwa, na akakutakasa,
- Ewe baba yangu! Kwa yakini imenifikia ilimu isiyo kufikia wewe. Basi nifuate mimi, nami nitakuongoza
- Waonaje kama tukiwastarehesha kwa miaka,
- Na tulimfunulia Musa: Toka usiku na waja wangu, na uwapigie njia kavu baharini. Usikhofu kukamatwa,
- Na ndio hivi tunavyo zieleza Ishara ili ibainike njia ya wakosefu.
- Na tulipo mhukumia kufa, hapana aliye wajuulisha kufa kwake ila mnyama wa ardhi aliye kula
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers