Surah Araf aya 120 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأُلْقِيَ السَّحَرَةُ سَاجِدِينَ﴾
[ الأعراف: 120]
Na wachawi wakapoomoka wakisujudu.
Surah Al-Araf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And the magicians fell down in prostration [to Allah].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wachawi wakapoomoka wakisujudu.
Haya ni mambo yaliyo wafika Firauni na waheshimiwa wake. Ama wale wachawi Haki iliangaza kwao, na wakaanguka kwa kumsujudia Mwenyezi Mungu nao wanainyenyekea Haki.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wale miongoni mwenu wanao watenga wake zao, hao si mama zao. Hawakuwa mama zao ila
- Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani iwe nyepesi kwa kukumbuka, lakini yupo akumbukaye?
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Na katika mabedui walio jirani zenu wamo wanaafiki; na katika wenyeji wa Madina pia wapo
- Na unijaalie katika warithi wa Bustani za neema.
- Basi Firauni akarudi na akatengeneza hila yake, kisha akaja.
- Na milango ya nyumba zao na vitanda wanavyo egemea juu yake,
- Na tuliwajaalia dhuriya zake ndio wenye kubakia.
- Na hakika yule mwanamke alimtamani, na Yusuf angeli mtamani lau kuwa hakuona ishara ya Mola
- Humo wataegemea matakia, wawe wanaagiza humo matunda mengi na vinywaji.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers