Surah Araf aya 120 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأُلْقِيَ السَّحَرَةُ سَاجِدِينَ﴾
[ الأعراف: 120]
Na wachawi wakapoomoka wakisujudu.
Surah Al-Araf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And the magicians fell down in prostration [to Allah].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wachawi wakapoomoka wakisujudu.
Haya ni mambo yaliyo wafika Firauni na waheshimiwa wake. Ama wale wachawi Haki iliangaza kwao, na wakaanguka kwa kumsujudia Mwenyezi Mungu nao wanainyenyekea Haki.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kisha wajisafishe taka zao, na waondoe nadhiri zao, na waizunguke Nyumba ya Kale.
- Kwa walivyo zoea Maqureshi,
- Na hapana katika sisi ila anapo mahali pake maalumu.
- Na mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume. Mkigeuka, basi hakika juu ya Mtume wetu ni
- Basi Naapa kwa Mola wako Mlezi! Tutawahoji wote,
- Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba,
- Mpaka watapo funguliwa Juju na Maajuju wakawa wanateremka kutoka kila mlima;
- Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Mwenyezi Mungu na
- Na zinazo peleka mawaidha!
- Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



