Surah TaHa aya 121 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَأَكَلَا مِنْهَا فَبَدَتْ لَهُمَا سَوْآتُهُمَا وَطَفِقَا يَخْصِفَانِ عَلَيْهِمَا مِن وَرَقِ الْجَنَّةِ ۚ وَعَصَىٰ آدَمُ رَبَّهُ فَغَوَىٰ﴾
[ طه: 121]
Basi wakaula wote wawili, na uchi wao ukawadhihirikia na wakaanza kujibandika majani ya Bustani. Na Adam akamuasi Mola wake Mlezi, na akapotea njia.
Surah Ta-Ha in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And Adam and his wife ate of it, and their private parts became apparent to them, and they began to fasten over themselves from the leaves of Paradise. And Adam disobeyed his Lord and erred.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi wakaula wote wawili, na uchi wao ukawadhihirikia na wakaanza kujibandika majani ya Bustani. Na Adam akamuasi Mola wake Mlezi, na akapotea njia.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Akasema: Bali amefanya hayo huyu mkubwa wao. Basi waulizeni ikiwa wanaweza kutamka.
- Akasema: Nitakimbilia mlimani unilinde na maji. (Nuhu) akasema: Leo hapana wa kulindwa na amri ya
- Basi wakikengeuka lilio juu yako wewe ni kufikisha ujumbe wazi wazi.
- Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
- Akasema: Mola wangu Mlezi! Ninusuru kwa sababu wananikanusha.
- Na tulimtuma Musa pamoja na miujiza yetu, tukamwambia: Watoe watu wako kwenye giza uwapeleke kwenye
- Mola wako Mlezi hakukuacha, wala hakukasirika nawe.
- Basi tukamwokoa yeye na watu wake, isipo kuwa mkewe, alikuwa miongoni mwa walio bakia nyuma.
- Hiyo ndiyo karamu yao Siku ya Malipo.
- Kisha hakika nyinyi baada ya hayo mtakufa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah TaHa with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah TaHa mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter TaHa Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers