Surah Insan aya 18 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿عَيْنًا فِيهَا تُسَمَّىٰ سَلْسَبِيلًا﴾
[ الإنسان: 18]
Hiyo ni chemchem iliyo humo inaitwa Salsabil.
Surah Al-Insan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[From] a fountain within Paradise named Salsabeel.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hiyo ni chemchem iliyo humo inaitwa Salsabil.
Hiyo ni kutokana na chemchem ya Peponi inayo itwa Salsabil, kwa sababu ya wepesi wa unywaji wake na uzuri wake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wanayo yaepuka madhambi makubwa na mambo machafu, na wanapo kasirika wao husamehe,
- Ila wale walio subiri wakatenda mema. Hao watapata msamaha na ujira mkubwa.
- Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu hiki kwa haki ili upate kuhukumu baina ya watu kwa alivyo
- Amemuumba binaadamu kwa tone la damu,
- Enyi watu! Kuleni vilivyomo katika ardhi, halali na vizuri, wala msifuate nyayo za Shet'ani. Hakika
- Na katika kila kitu tumeumba kwa jozi ili mzingatie.
- Na utafute, kwa aliyo kupa Mwenyezi Mungu, makaazi ya Akhera. Wala usisahau fungu lako la
- Na lau makafiri wangeli pigana nanyi basi bila ya shaka wangeli geuza migongo, kisha wasingeli
- HUENDA ikawa walio kufuru wakatamani wange kuwa Waislamu.
- Kwa nini mlipo sikia khabari hii, wanaume Waumini na wanawake Waumini hawakuwadhania wenzao mema, na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Insan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Insan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Insan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers