Surah Insan aya 19 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Insan aya 19 in arabic text(The Human).
  
   

﴿۞ وَيَطُوفُ عَلَيْهِمْ وِلْدَانٌ مُّخَلَّدُونَ إِذَا رَأَيْتَهُمْ حَسِبْتَهُمْ لُؤْلُؤًا مَّنثُورًا﴾
[ الإنسان: 19]

Na watawazungukia kuwatumikia wavulana wasio pevuka, ukiwaona utawafikiri ni lulu zilizo tawanywa.

Surah Al-Insan in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


There will circulate among them young boys made eternal. When you see them, you would think them [as beautiful as] scattered pearls.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na watawazungukia kuwatumikia wavulana wasio pevuka, ukiwaona utawafikiri ni lulu zilizo tawanywa.


Na watakuwa wanawazunguka vijana ambao hawabadiliki hali yao, kwa furaha na sururi. Ukiwaona wanapo zunguka kwa wepesi na uchangamfu, utawadhania kwa uzuri wao na usafi wa rangi zao, kama lulu zilizo tandazwa mbele yako zinangara.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 19 from Insan


Ayats from Quran in Swahili

  1. Lakini alipo wajia na Ishara zetu wakaingia kuzicheka.
  2. Mali aliyo leta Mwenyezi Mungu kwa Mtume wake kutoka kwa watu wa hivi vijiji ni
  3. Pale Mwenyezi Mungu alipo sema: Ewe Isa! Mimi nitakufisha, na nitakunyanyua kwangu, na nitakutakasa na
  4. Ila maji yamoto sana na usaha,
  5. Mola wako Mlezi alipo wafunulia Malaika: Hakika Mimi ni pamoja nanyi, basi watieni nguvu walio
  6. Muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake; na toeni katika alivyo kufanyeni nyinyi kuwa ni waangalizi
  7. Na akalifanya jua na mwezi kwa manufaa yenu daima dawamu, na akaufanya usiku na mchana
  8. Wanamkimbilia mwitaji, na makafiri wanasema: Hii ni siku ngumu.
  9. Akasema: Sitampeleka nanyi mpaka mnipe ahadi kwa Mwenyezi Mungu kwamba lazima mtamrejeza kwangu, ila ikiwa
  10. Na wamesema: Kwa nini hakuteremshiwa muujiza kutoka kwa Mola wake Mlezi? Sema: Hakika Mwenyezi Mungu

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Insan with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Insan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Insan Complete with high quality
Surah Insan Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Insan Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Insan Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Insan Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Insan Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Insan Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Insan Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Insan Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Insan Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Insan Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Insan Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Insan Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Insan Al Hosary
Al Hosary
Surah Insan Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Insan Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, May 10, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب