Surah Assaaffat aya 97 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالُوا ابْنُوا لَهُ بُنْيَانًا فَأَلْقُوهُ فِي الْجَحِيمِ﴾
[ الصافات: 97]
Wakasema: Mjengeeni jengo, na kisha mtupeni motoni humo!
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They said, "Construct for him a furnace and throw him into the burning fire."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wakasema: Mjengeeni jengo, na kisha mtupeni motoni humo!
Hoja ilipo wapata wale wanao abudu masanamu, wakaona hawana ila waingie kutumia nguvu; wakaazimia kumchoma moto. Basi waliambizana: Mjengeeni jengo, na mlijaze moto, na mtupeni katikati yake!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Naye yuko juu kabisa upeo wa macho.
- Ni nani kati yenu aliye pandwa na wazimu.
- Hatukukuteremshia Qur'ani ili upate mashaka.
- Na nipe waziri katika watu wangu,
- Bila ya shaka wanao fungamana nawe, kwa hakika wanafungamana na Mwenyezi Mungu. Mkono wa Mwenyezi
- Na tukamuingiza katika rehema yetu. Hakika yeye ni miongoni mwa watenda mema.
- Na anaye subiri, na akasamehe, hakika hayo ni katika mambo ya kuazimiwa.
- Na yupo kati yenu anaye bakia nyuma; na ukikusibuni msiba husema: Mwenyezi Mungu kanifanyia kheri
- Na ziko kwake funguo za ghaibu; hakuna azijuaye ila Yeye tu. Na Yeye anajua kilioko
- Sema: Mwaonaje, ikiwa Mwenyezi Mungu atanihiliki mimi na walio pamoja nami, au akiturehemu, ni nani
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



